Emmanuel Mbasha aachiliwa huru kesi ya ubakaji

Emmanuel Mbasha aachiliwa huru kesi ya ubakaji

mbasha anazunguka na magufuli kwenye kampeni kwa hiyo hakuna kesi ilikuwa maigizo tu.

tangu lini ccm ikajishtaki mahakamani.


UKAWA ikiingia madarakani huu upuuzi hatuutaki tena wa wanasiasa kuingilia maamuzi ya mahakama.


haiwezekani mtu kabaka mchana kweupe leo mtuambia hakubaka.


huu ni ujinga uliopitiliza.

ulikuepo peleka ushahidi mahakamani
 
Aisee aombe kuongea na vyombo vya habari,ataendelea kupata mialiko yenye malipo!

Ku proof kesi ya ubakaji ni kazi kubwa si Kama mnavyofikiria, naomba wana sheria walitolee maelezo hilo kujaribu kuelewesha. Haki na sheria ni vitu viwili tofauti. Watu wengine hawa patikana na hatia si kwamba hawakutenda kosa bali sheria inahitaji ushahidi mzito.
 
Nimefikiria tu kizembe...

Ina wezekana kaachiwa huru kwa agizo la wakulu kwa nia tu ya kumkomoa Gwajima...
 
hii kesi naona imegeuka ni ya CCM vs UKAWA ila ukweli wanaujua wemyewe.
 
Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Mshenga na kundi lake wangeingia madarakani kijana angesota milele kama babu Seya. Na bado october 25 atawaadhibu sana

kwa hiyo lengo lilikuwa kumtoa babu seya na kumsweka mbasha? mungu wa haki na ukweli mtume roho wa hekma atawale roho na akili za watanzania. mbasha pole na endelea kumngangania mungu!
 
Tupe ushahidi

Mna macho hamuoni, mna masikio ila Hamsikii, mna akili ila mmeshikiwa... Nasubiri kwa hamu siku Gwajima awatende kama Kibwetere maana kila kitu mnamuamini tu hata kama ni upuuzi.
 
yaani wajitokeze watetezi wa gwajima maana amepora mke wa mtu na kesi kumbambikia juu kweli malipo huwa hapahapa duniani
 
Lakini lile toto alilosemekana kalibaka ni kali aisee
 
kwanza nakupa pole kwa mateso uliypitia, ni kawaida ya wenye pesa kuwatesa wasio na pesa hata kwa haki yao, Mungu akutangulie. Pili nakuomba usimame na ukristo usamehe mara saba sabini na Mungu atakulipia, Tatu husitumie maisha yako kwa wanansiasa maana hawajawahi kuwa na shukuranai wala msimamo. Mungu akutangulie ndugu yetu Emma
 
Back
Top Bottom