George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,031
- 4,921
Yule msanii bora wa hiphop wa muda wote, yaani ninamaanisha yule msanii bora kabisa wa hiphop kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa mbingu na nchi ameachia albamu mpya inayokwenda kwa jina la Music to Be Murdered By.
Long live Marshall Mathers.
Long live Marshall Mathers.