Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,829
- 17,036
Big up kiongozi, kusepa kwenye mtego kabla haujanasa ndio uanaume wenyewe.
Asante.... ndugu nilijimix kwenye Mali ya afande.pole sana mkuu walikufanyaje
Upweke mkuu, mwanaume na mwanamke tunatofautiana sana namna ya kufikiri kuhusu familia na ndoa.Wake wa watu wamekuwa wepesi mpaka inaogopesha
[emoji23][emoji23][emoji23]O Ndogo Itapasuliwa Mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio unamtongoza yeye kakukatalia bado wajiliza kwa mke wa mtu ngoja mumewe aje akutongoze
Big up sana mkuu am doneTEMANA NAE MKUU
Mkuu, hongera sana Kwa kumshinda sheitwani wa kijini.Wakuu nashukru sana kwa ushauri wenu hatimae nimeachana na yule mke wa mtu nimeweza mshinda Bwana sheitwain kwahakika .
secretarybird njoo utoe pongezi
hongera sana mkuu. Mke wa mtu ni roho mkononi kuna muuza maziwa huku kakatwa mapanga walimvizia, anatoka kutembeza maziwa.Big up sana mkuu am done
Jambo jema maana jamaa angejua nawe ungenepewa kizembe.Gentlemens woz-up?
Ipo hivi kuna mke wa mtu tulikutana tumezoea na kuanza mahusiano ya kimapenzi japo hatukuwai kutana kimwili hata siku moja .
Kwa maana anadai mme wake yupo nae anamchunga sana hivyo kutoka inakuwa kipengele kwake .
Sasa mimi nimeona isiwe case tuachane tu make nitakuwa nimeepuka mengi kuliko kuwa nae kwenye mahusiano na kusubili upenyo( nafasi) nipewe mbususu nichakate nimeamua kujitoa huko.
Au wakuu ninyi mnasemaje hapo?