Embu wakuu tieni neno hapa

Embu wakuu tieni neno hapa

20260423_230542.jpg
 
Boys, tujitahidi mno kujiepusha na wake za watu

em chukulia umejua mke wako ameliwa na mtu fulani, utafeel vp?

Mm nikishajua huyu n mke wa mtu, Siwez kuzoea nae kwa lolote, mana hata mazoea ya kawaida tuu Ndo muelekeo wa kuja kutembelea nae
 
Wewe ndio unamtongoza yeye kakukatalia bado wajiliza kwa mke wa mtu ngoja mumewe aje akutongoze
 
Boys, tujitahidi mno kujiepusha na wake za watu

em chukulia umejua mke wako ameliwa na mtu fulani, utafeel vp?

Mm nikishajua huyu n mke wa mtu, Siwez kuzoea nae kwa lolote, mana hata mazoea ya kawaida tuu Ndo muelekeo wa kuja kutembelea nae
Kweli mkuu mazoea hayafai kabsa na wanawake walio olewa .
Atleast nimejiepusha sijafika na kumvua chupi😁
 
Sio kila jambo lazima uchukue uamuzi kwa kusikiliza watu wengine "Akili za kushikiwa"

Kama umeamua kuachana na issue ya huyo mke wa mtu,halafu unakuja tena JF na kutaka ushauri,ina maanisha kua,wewe sio mtu wa maamuzi na akili yako inatawaliwa na akili za watu wengine,

Mwanaume anatakiwa kua na maamuzi yake bila kusikiliza mtu mwingine, hasa kwenye issue minor kama hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom