SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Nimetumiwa sms na mtu wangu wa karibu (anafanya kazi serikalini):
Kuna mtu amepata onyo kama hili au amekuwa implicated kuhusiana na email hizo? Lina ukweli kiasi gani? Ni email kuhusu nini au ni just email kuhusu rais?
"XXXXXX, ukifowadiwa email yyt inayomuhusu rais wa tz pse dont forward it to any one kuna watu imewagharimu kwenda selo kulala. take it vry serious. XXXX u!"
Kuna mtu amepata onyo kama hili au amekuwa implicated kuhusiana na email hizo? Lina ukweli kiasi gani? Ni email kuhusu nini au ni just email kuhusu rais?