Email from James - Jeddah


Ina maana sisi ni watu wako wa karibu kuliko boyfriend wako? Boyfriend wako analijua hili?Kwa nini unataka kumsaliti boyfriend wako very easily?unataka kuniambia kuwa mapenzi ya siku hizi yamefikia hapo???
 
It's me.

Really me.

James...James Jeddah.

Halafu pole eeh..

Asante James...... nshapoa, yamebaki majeraha tuu...

I feel uuuhhhh ......thanks for coming darling.....

I really adores you, I feel you, and I am smelling you.....

Mmmmuuuahhhh! !

Kasie J. J.
 
EBU NIELEWESHENI HUYU MDADA UWAGA STORY ZAKE ANATUNGA AU? MANA STORI ZAKE NI ZA KUPENDWA TU NA WALIOMATAWISJAWAI ONA KALETA STORY YA MUUZA GENGE
 
EBU NIELEWESHENI HUYU MDADA UWAGA STORY ZAKE ANATUNGA AU? MANA STORI ZAKE NI ZA KUPENDWA TU NA WALIOMATAWISJAWAI ONA KALETA STORY YA MUUZA GENGE

Hahahahahahahaaa kuna habari ya ukweli iliyonitokea zamani wakati wa uschana wangu, kichwa cha uzi ni mama ntilie..... utafute huo uzi uusome utakuwa umepata majibu ya maswali yako.

Mi sio mtunzi maana sina ujuzi huo, mara zote nasimulia matukio yaliyonitokea mimi Kasinde.

Kuhusu kupendwa na watu matawi sina jibu lake maana hata nami najikuta tuu imekuwa hivyo.
 
Acha kamba.
 
Huyu ndo Bi Faiza Foxy bhana.. AkA The google.com.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…