Wanachama wa CCM wamechoka na sasa imekuwa ni aibu kubwa huko Meru kwa namna vitendo vya kuchafuana vinavyoendelea baina ya wagombea wawili SIOI na SARAKIKYA. Matusi, rushwa, uzushi, mnyukano na kila aina ya siasa zenye upuuzi wa hali ya juu.
Elishilia kaaya na kambi yake kupitia kwa aliyekua meneja wa kampeni za ndani ya chama kuwa sasa wameamua kumuunga mkono kijana wao Joshua Nassari, "Nassari ni wetu ni mmeru wetu, tunaaamini akishinda atawatumikia wameru". Hii vita ya urais tuwaachie hao hao wasituletee maafa huku.
Meneja huyo amethibitisha hayo kwa kusema kuwa, hawawaambii wanachama wa CCM meru kuhama chama ila katika mazingira ya ukweli mgombea pekee ambaye ataisaidia meru ni NAssari wa CHADEMA kwa sababu hatatumikia kundi la watu hawa wachafu na hivyo KUATAKA WAMERU WOTE WAMPIGIE KURA JOSHUA NASSARI.
Elishilia ambaye naye alipigwa dafrao kubwa, amekiri kuwa kwa namna mkutano wa chadema wa kura ya maoni ulivyoendeshwa na kusimamiwa na uongozi wa ngazi husika bila manung'uniko wala shida ni dhahiri kuwa chadema wapo serious, haya mambo mengine ya ukada yanatia gharama za bure. Kaaya amekuwa akijulikana kama kada maarufu wa CCM, amejikuta katika aibu nzito ya kiutu uzima pale ambapo kwa macho yake alikuwa akiona namna siasa chafu za ccm huwa zinachezwa.
UVCCM, wameapa kuwa asipopitishwa SIOI basi hawatashiriki kampeni za uchaguzi.
Elishilia kaaya na kambi yake kupitia kwa aliyekua meneja wa kampeni za ndani ya chama kuwa sasa wameamua kumuunga mkono kijana wao Joshua Nassari, "Nassari ni wetu ni mmeru wetu, tunaaamini akishinda atawatumikia wameru". Hii vita ya urais tuwaachie hao hao wasituletee maafa huku.
Meneja huyo amethibitisha hayo kwa kusema kuwa, hawawaambii wanachama wa CCM meru kuhama chama ila katika mazingira ya ukweli mgombea pekee ambaye ataisaidia meru ni NAssari wa CHADEMA kwa sababu hatatumikia kundi la watu hawa wachafu na hivyo KUATAKA WAMERU WOTE WAMPIGIE KURA JOSHUA NASSARI.
Elishilia ambaye naye alipigwa dafrao kubwa, amekiri kuwa kwa namna mkutano wa chadema wa kura ya maoni ulivyoendeshwa na kusimamiwa na uongozi wa ngazi husika bila manung'uniko wala shida ni dhahiri kuwa chadema wapo serious, haya mambo mengine ya ukada yanatia gharama za bure. Kaaya amekuwa akijulikana kama kada maarufu wa CCM, amejikuta katika aibu nzito ya kiutu uzima pale ambapo kwa macho yake alikuwa akiona namna siasa chafu za ccm huwa zinachezwa.
UVCCM, wameapa kuwa asipopitishwa SIOI basi hawatashiriki kampeni za uchaguzi.