Elishilia Kaaya kumuunga mkono Joshua Nassari mgombea ubunge kupitia CHADEMA

chachana

Member
Aug 4, 2011
57
92
Wanachama wa CCM wamechoka na sasa imekuwa ni aibu kubwa huko Meru kwa namna vitendo vya kuchafuana vinavyoendelea baina ya wagombea wawili SIOI na SARAKIKYA. Matusi, rushwa, uzushi, mnyukano na kila aina ya siasa zenye upuuzi wa hali ya juu.

Elishilia kaaya na kambi yake kupitia kwa aliyekua meneja wa kampeni za ndani ya chama kuwa sasa wameamua kumuunga mkono kijana wao Joshua Nassari, "Nassari ni wetu ni mmeru wetu, tunaaamini akishinda atawatumikia wameru". Hii vita ya urais tuwaachie hao hao wasituletee maafa huku.

Meneja huyo amethibitisha hayo kwa kusema kuwa, hawawaambii wanachama wa CCM meru kuhama chama ila katika mazingira ya ukweli mgombea pekee ambaye ataisaidia meru ni NAssari wa CHADEMA kwa sababu hatatumikia kundi la watu hawa wachafu na hivyo KUATAKA WAMERU WOTE WAMPIGIE KURA JOSHUA NASSARI.

Elishilia ambaye naye alipigwa dafrao kubwa, amekiri kuwa kwa namna mkutano wa chadema wa kura ya maoni ulivyoendeshwa na kusimamiwa na uongozi wa ngazi husika bila manung'uniko wala shida ni dhahiri kuwa chadema wapo serious, haya mambo mengine ya ukada yanatia gharama za bure. Kaaya amekuwa akijulikana kama kada maarufu wa CCM, amejikuta katika aibu nzito ya kiutu uzima pale ambapo kwa macho yake alikuwa akiona namna siasa chafu za ccm huwa zinachezwa.


UVCCM, wameapa kuwa asipopitishwa SIOI basi hawatashiriki kampeni za uchaguzi.
 
ok yeyote atakayeshinda awasaidie wananchi na sio kutafuta posho
 
Kama watanzania wote wangeona jinsi hawa jamaa wanavyohangaika kuingia uongozini, basi wangeshtuka na kuachana na CCM mara moja hata wakipewa mabilion, hayawasaidii huko mbeleni.
 
CCM kwa sasa ni kama mgonjwa aliye kwenye harakati za kukata roho...mara atataka mtoto wa kwanza aje, mara atataka mtoto wa mwisho aitwe, mara atataka maji, na madai mengine mengi, kumbe ni mbinu ya kukata roho!
Mara Sioi si raia, mara Lema alitukana Washili, mara Lowassa KAFANYA HIVI...ni mtiririko wa vituko visivyokuwa na tija na wananchi.
Hongera sana CDM...Mmeonyesha ukomavu mzuri sana wa kisiasa!
 
Tunampogeza kama ametambua nyeupe siyo nyeusi, itakuwa vema na haki kama atawafungua na wengine macho.
 
Safi mkuu.Ila heading inamislead.Tetesi halafu wakati huo imedhibitishwa!!
 
Haiwezekani elishilia atoke ccm , ccm ndo imemfikisha hapo alipo sasa hivi . Na labda anategemea akitoka aicc aende kuwa balozi . Kumuunga mkono nasary ni risk kubwa sana kwake hawezi kufanya hivo kama anaipenda future yake . Huo utakuwa uzushi mnene.
 
Wanachama wa CCM wamechoka na sasa imekuwa ni aibu kubwa huko Meru kwa namna vitendo vya kuchafuana vinavyoendelea baina ya wagombea wawili SIOI na SARAKIKYA. Matusi, rushwa, uzushi, mnyukano na kila aina ya siasa zenye upuuzi wa hali ya juu.

Elishilia kaaya na kambi yake kupitia kwa aliyekua meneja wa kampeni za ndani ya chama kuwa sasa wameamua kumuunga mkono kijana wao Joshua Nassari, "Nassari ni wetu ni mmeru wetu, tunaaamini akishinda atawatumikia wameru". Hii vita ya urais tuwaachie hao hao wasituletee maafa huku.

Meneja huyo amethibitisha hayo kwa kusema kuwa, hawawaambii wanachama wa CCM meru kuhama chama ila katika mazingira ya ukweli mgombea pekee ambaye ataisaidia meru ni NAssari wa CHADEMA kwa sababu hatatumikia kundi la watu hawa wachafu na hivyo KUATAKA WAMERU WOTE WAMPIGIE KURA JOSHUA NASSARI.

Elishilia ambaye naye alipigwa dafrao kubwa, amekiri kuwa kwa namna mkutano wa chadema wa kura ya maoni ulivyoendeshwa na kusimamiwa na uongozi wa ngazi husika bila manung'uniko wala shida ni dhahiri kuwa chadema wapo serious, haya mambo mengine ya ukada yanatia gharama za bure. Kaaya amekuwa akijulikana kama kada maarufu wa CCM, amejikuta katika aibu nzito ya kiutu uzima pale ambapo kwa macho yake alikuwa akiona namna siasa chafu za ccm huwa zinachezwa.


UVCCM, wameapa kuwa asipopitishwa SIOI basi hawatashiriki kampeni za uchaguzi.

Nasari hahitaji Elishiria wala magamba yoyote kupata ushindi, na hapo kwenye red unamaanisha UVCCM gani sasa, maana arusha kuna UVCCM kama laki moja na arobaini elfu!!!

naona degedege imewakumba walaji na watoaji rushwa
 
Hivi hawa jamaa kupigana vikumbo vyote hawajamsikia spika Makinda kuwa bungeni kuna njaa, wabunge wana dhiki hawawezi hata kujenga nyumba, na nusu yao wanataka kuacha kazi hiyo isiyolipa?! Wanagombania dhiki hawa!

kamanda, ikiisha ya arumeru tutarudi kwenye hoja yetu na mponda!!!

CCM inajivua nguo moja baada ya nyingine Arusha, hadi jumatano ijayo watakua uchi wa mnyama!!
 
Ndani ya CCM kuna vyama vingi sana vya siasa! Tendwa avisajili.


Hapo umehitimisha kila kitu, cha kuongezea ni kuwa Hili lichama lilitakiwa livunjwe muda mrefu na viongozi wa CCM. It would have had a dignified end, right now they are heading to a shameful fate, another KANU in the making.
 
Hapo anaangaliwa nani mwenye uwezo wa kuwa na pesa nyingi ndo apite

Kaka wewe kuwa mende..........inashtua. Tabia ya mende ni kukaa kwenye mavi..........sasa wewe binadamu ukiwa na tabia za mende..........maana yake tuna utata ni wapi unafanya tendo la ndoa. Kule apendako mende au?
 
Hivi vurugu zote hizi, vikumbo vyote hivi, mvurugano wote huu ni kutaka kuingia katika ubunge huo ambao Mheshmiwa Speaker amesema ni umasikini? Yaani hawa kina Sioi, Sarakikya sijui nanilii wanagombania kwenda kuwa masikini? Kwamba wao wanaupenda sana umasikini???

Wapi glasi yangu.!
 
Back
Top Bottom