Mfumo wetu wa elimu hauko sawa na unachezewa sasa sijui kwa malengo gani, tuanze na usahhihisha wa mitihani kuna dosari nyingi huwa zinajitokeza na hazifanyiwi kazi.
Mfano matokeo ya form waliofanya mtihani mwaka jana yale yamechakachuliwa sasa sijui kwa lengo gani, hebu angalia zamani wanafunzi walikuwa wanaomba vyuo vya Ualimu kupitia NACTE, sasa Mkenda kaanzisha kablog kake ndio wanafunzi wanaomba ili apate hizo 10,000, hebu angalia interface yake utafikiri wizara bado iko zama za mawe.
Serikali irudishe utaratibu wa awali vijana wetu waombe kupitia NACTE.
MKENDA PESA ZA WIZARA ZINAKUTOSHA ACHA TAMAAAA.
Hebu ingia hapa uone kablogu kakanzisha ili kupiga pesa
TCM.moe
Mfano matokeo ya form waliofanya mtihani mwaka jana yale yamechakachuliwa sasa sijui kwa lengo gani, hebu angalia zamani wanafunzi walikuwa wanaomba vyuo vya Ualimu kupitia NACTE, sasa Mkenda kaanzisha kablog kake ndio wanafunzi wanaomba ili apate hizo 10,000, hebu angalia interface yake utafikiri wizara bado iko zama za mawe.
Serikali irudishe utaratibu wa awali vijana wetu waombe kupitia NACTE.
MKENDA PESA ZA WIZARA ZINAKUTOSHA ACHA TAMAAAA.
Hebu ingia hapa uone kablogu kakanzisha ili kupiga pesa
TCM.moe