Wadau hebu nijuzeni,mtu akitaka kuanzisha kipindi kwa tv anatakiwa aanze process zipi,namaanisha kuanzia kuomba mpaka kuendesha kipindi bila kusahau malipo km mshahara,natamani sn kuwa mmojawapo wa watangazaji ambao hawajasomea fani hiyo lkn wenye hobi na wenyeutundu mwingi sn na programme za kijanja kuhusu vipindi vya tv,ninazo programme nzuri sn na mipangilio kabambe,naombeni ushauri