Elimu ya Godbless Lema utata mtupu

Lameck wa Rorya ana elimu gani, hata kujenga hoja hajui zaidi ya kuhonga na kuwadanganya wananchi.
 
tatizo sio elimu hapa..tatizo ni kua godbless lema hana personality ya kuongoza jimbo lenye hadhi kama hili la arusha...unaweza kusoma mbaka nywele zika nyonyoka ila ukakosa hekima..hana hekima kabisa.....mie nimemuona kwa macho yangu nilipo kwenda kwenye kilio cha dada mmoja hapa arusha,wakati ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu kwa kupotelewa na msichana mdogo huyu lema akaingia kwenye nyumba yenye msiba.....alipo ingia unaweza sema petrol station inatembea,alikua ananukia breweries ya kutosha..huku watu wakiwa na huzuni kubwa,akasema "jamani msilie sana,ni swala la kuomba tu ili arudi tena dunia,haya jamani tumuombee afufuke"hiyo kauli iliwafanya ndugu wengine marehemu kutoka nje......sasa hii ni kutokua na hadhi ya uongozi!!!
Acha utoto wewe gamba.
 
Msimbane mbavu mtu kwa elimu ktk kitu ambacho ni haki yake, kwani hata akiwa na elimu ndogo hastaili kuwa mbunge? Haya godbless jonathan lema anaelimu ya msingi (darasa la saba) je, sheria inamzuia kugombea ubunge?
 
Lema anawakilisha kundi kubwa la viongozi wetu wasio na Elimu.
 
Mbona mimi sioni tatizo la kujadili hapo?.Kwani kavunja sheria gani tena hata kuanzisha mahakama nyingine humu jamvini?.Kwani katiba ya tz inasemaje kuhusu elimu ya mbunge?.Wangapi walikuwa na elimu ya std 7 na wakawa mawaziri enzi za Mwalimu?.Na hata leo wengi ni wabunge lkn std .....?
 
kuna elimu zisizo rasmi,mtu kamaliza std 7 miaka ya sabini lakini knowlege aliyonayo ni kubwa baada kujiendeleza ktk semina na tuition nyingi za muda mfupi.
 
Mbona mimi sioni tatizo la kujadili hapo?.Kwani kavunja sheria gani tena hata kuanzisha mahakama nyingine humu jamvini?.Kwani katiba ya tz inasemaje kuhusu elimu ya mbunge?.Wangapi walikuwa na elimu ya std 7 na wakawa mawaziri enzi za Mwalimu?.Na hata leo wengi ni wabunge lkn std .....?
 
Ni kweli huyu jamaa hajasoma huyu, tunataka viongozi kama akina Kikwete ana Degree ya Uchumi na kaitumia vizuri kutufikisha hapa tulipo.

Aisee mbona umechemka sana? degree ya Kikwete imetupeleka pabaya! umedhihirisha kuwa hauko makini na unachokinena..nakushauri usome posting za kwenye JF kisha uzitafakari ujibu ikiwa na uhakika wa unachokiandika..usitupotezee muda wa kusoma pumba zako! (Nimei-highlight red kuonyesha kuwa ni utumbo ulioandika)
 
Elimu ya baadhi ya wabunge wa nchi hii ni vichekesho vitupu.

Viwango havikwepeki, hiyo ni kwa watu makini wanaotaka mafanikio. Katiba mpya yaja, lakini sintoshangaa kama viwango vitabaki pale pale kwani Bunge la Katiba litawajumuisha hao hao. Hawatajilinda? .....!
 
Elimu ya Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini, GODBLESS LEMA aliyoieleza Mahakamani wakati ya kesi inayomkabili kufuatia ushindi wake wa Ubunge jimboni humo ni tofauti kabisa na ile iliyoko kwenye profile yake iliyooneshwa kwenye tovuti ya Bunge. Aidha hakuna ukweli wa moja kwa moja wa CHUO ambacho Mh. huyo mwenye Mbwembwe sana alichosomea.

Wewe! elimu ya Lema inahusu nini kwa sasa, hawezi kuongoza?? elimu yenyewe inayouliziwa hapa ni formal, aliyekwambia kuwa elimu ni formal tu ni nani? kwa taarifa unaweza ukawa na cheti chako cha formal education na usiweze kuongoza. Wakati mwingine unaweza kumkuta mtu ana cheti na hajui hata alichokisomea....situnaishi nao watu wa namna hiyo na tunawafahamu. I always consider 1st a person who learnt how to learn rather than who learnt what taught only. LEMA knows how to learn
 
Afazali umejitokeza leo nikuulize swali? Hivi KIKWETE alipata wapi Masters na PhD yake? nijuze kiduchu mkuu
 
Msimbane mbavu mtu kwa elimu ktk kitu ambacho ni haki yake, kwani hata akiwa na elimu ndogo hastaili kuwa mbunge? Haya godbless jonathan lema anaelimu ya msingi (darasa la saba) je, sheria inamzuia kugombea ubunge?

Shida kubwa hapo si kiwango cha elimu bali NI UKWELI KTK HIYO ELIMU! Du! KUU KUBALI ukweli ni VIGUUUMU KWELIKWELI!!
 
Mbona mimi sioni tatizo la kujadili hapo?.Kwani kavunja sheria gani tena hata kuanzisha mahakama nyingine humu jamvini?.Kwani katiba ya tz inasemaje kuhusu elimu ya mbunge?.Wangapi walikuwa na elimu ya std 7 na wakawa mawaziri enzi za Mwalimu?.Na hata leo wengi ni wabunge lkn std .....?

Inadhihirika ni kwa kiwango gani hata wewe hujamuelewa mleta mada.ISOME VIZUUURI KWA UTULIVU UTAIELEWA!
 
acheni kuchangia mambo ambayo hayana tija kwa sasa, wana JF tuzungumzie kuhusu tutoke vipi na siasa za bongo nchi ikombolewe sio habari za kujadili shule namiaka ya watu ambao wameshafanya mambo yanayoonekana kwa jamii, Issue ya Maji marefu aka Prof kuwa darasa la saba kwani ni mbunge wa tanzania nzima??waliomchagua walijua kuwa ndie mwenye upeo wa kuendeleza jimbo lao kwa level za uelewa wao, G. Lema naye hivyo hivyo kuwa na degree au masters zinaweza kuwa zilikuwa za kudesa au c^*pi na mtu akapata first class, mnapotea njia kuanza kuwazungumzia na ma Dr wa watu wa heshima kwani mliwasimamia hizo Phd nyie???Lets get focused on the main problems that we are facing as we need to show the difference between "kudadadekiz" and the brainy ones!!!!
 
Wewe elimu yako ikoje???

msiwe wakali NYie fanatics wa CHADEMA..tatizo siyo elimu aliyonayo Lema, tatizo ni kudanganya mahakama, Bunge letu tukufu, na wananchi kwa ujumla.. kiongozi wa aina hii hafai. huwezi dharau mihimili mikuu ya nchi halafu baadae useme unatumikia nchi
 
Back
Top Bottom