Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Elimu ya Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini, GODBLESS LEMA aliyoieleza Mahakamani wakati ya kesi inayomkabili kufuatia ushindi wake wa Ubunge jimboni humo ni tofauti kabisa na ile iliyoko kwenye profile yake iliyooneshwa kwenye tovuti ya Bunge. Aidha hakuna ukweli wa moja kwa moja wa CHUO ambacho Mh. huyo mwenye Mbwembwe sana alichosomea.
Hebu tuangalie hii ya bunge ilivyo na utata yenyewe kwanza:
Iko haja sasa Sheria ifuate mkondo kwa TCU kukagua CV za Wabunge wetu ili kuepusha Nchi yetu kuingia katika majanga yatakayosababishwa na Wanasiasa wa aina hii.
No items on list
No items on list
No items on list
Hebu tuangalie hii ya bunge ilivyo na utata yenyewe kwanza:
- Kamaliza darasa la saba 1989 na kuanza kidato cha kwanza kwaka huohuo wa 1989. Je hii inawezekana?
- Ameanza kidato cha kwanza mwaka 1989 na kumaliza 1991. Je miaka hiyo elimu ya kidato cha nne ilikuwa ni miaka 3 badala ya minne?
- Amemaliza kidato cha nne mwaka 1991 na mwaka huohuo akaanza kidato cha tano. Je hili liiikuwa linawezekana?
- Hii Diploma aliyosoma Cambridge College ni ya nini? siasa? uchumi? fundi mchundo? au nini?
Iko haja sasa Sheria ifuate mkondo kwa TCU kukagua CV za Wabunge wetu ili kuepusha Nchi yetu kuingia katika majanga yatakayosababishwa na Wanasiasa wa aina hii.
GENERAL | ||
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Godbless | |
Middle Name: | Jonathan | |
Last Name: | Lema | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Arusha Mjini | |
Political Party: | CHADEMA | |
Office Location: | Box 16531, Arusha | |
Office Phone: | +255 764 150747 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | ||
Member Status: | ||
Date of Birth |
EDUCATIONS | ||||
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Kalangala Primary School | Primary Education | 1983 | 1989 | PRIMARY |
Geita Secondary School | O-Level Education | 1989 | 1991 | SECONDARY |
Kolila Secondary School | A-Level Education | 1991 | 1993 | SECONDARY |
Cambridge International College | Diploma | 2008 | 2010 | DIPLOMA |
Cambridge International College | Degree | 2010 | Todate | NOT COMPLETED |
CERTIFICATIONS | |||
Certification Name or Type | Certification No. | Issued | Expires |
EMPLOYMENT HISTORY | |||
Company Name | Position | From Date | To Date |
The Parliament of Tanzania | Member - Arusha Urban Constituency | 2010 | 2015 |
PTN | Chief Executive Officer (CEO) | 2007 | 2008 |
Tanzania Labour Party, TLP | District Secretary General | 2005 | 2008 |
DENETRIA | Director | 2005 | 2008 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo | Member of Parliament | 2010 | Date |
Tanzania Labour Party, TLP | District Secretary General | 2005 | 2008 |
Tanzania Labour Party, TLP | Candidate, Member of Parliament | 2005 |
PUBLICATIONS | |
Description | Published Date |
Lema Godbless: Msaada wa haraka kutoka katika Biblia, Arusha | 2008 |
Godbless Lema: Wisdom Time, Arusha | 2008 |
SPECIAL SKILLS | |||
Skill Name or Description | Years Experience | Acquired Through | Skill Level |
RECOGNITIONS | ||||
Recognition Type | Recognition Date | Reason | Action Taken | Issued by |