mzizi dawa
Senior Member
- Mar 1, 2012
- 118
- 12
Mzee unapo eshimika usizani tuna kuogopa,tuna kutunzia eshima tu,embu tuambie ao wenye digrii zakupewa wamelifanyia nini ili taifa,au kwa upeo wako wakufikiri mwenye elimu yajuu ndiye kiongozi mzuri?
Wewe elimu yako ikoje???
Mzee unapo eshimika usizani tuna kuogopa,tuna kutunzia eshima tu,embu tuambie ao wenye digrii zakupewa wamelifanyia nini ili taifa,au kwa upeo wako wakufikiri mwenye elimu yajuu ndiye kiongozi mzuri?
Mtu ana gentleman pass leo Rais.sidhani uongozi ni elimu na kama ni elimu nafikiri watz wangemchagua Prof I. Lipumba maana ana elimu kubwa..alaf tuangalie na tuache ushabiki hiv hawa mnaosema wana elimu si ndo wezi
1.A Chenge ...
2.E.lowasa ..
3.BWM
4.Mramba
na wengineo niambie wamefanya nn hapo wasomi km mtu amefanya kitu cha maana mpeni hongera na sio kushangilia vitu ambavyo havina mantiki ...big up Lema coz we all know hawa ni wanafiki wako ...aluta continua ....
No wonder wakati akina Zitto wanatumia Ipode kuwakilisha bajeti bungeni, bado akina Mkulo and co wanatumia mtindo wa KIJIMA wa KULAMBA MAKARATASI. Hawa wazee inabidi tuwapige chini hawawezi kutupeleka popote uwezo wao wa kufikiri umeshafikia mwisho.
wazazi,nawaapia kuwa godbless lema hakumaliza shule pale kolila sec,aliishia form two baada kubambwa kwa wizi wa vifaa vya maabara akapiga mbio usiku usiku hakukanyaga tena kolila mpaka kesho ,hii cv ni uongo mtupu anaye bisha kwa haya niliyosema ajitokeze!
Mzee mtei kaambali wewe ni msomi na usitete watu waongo kama mtu kaishia lapili sio hoja ila kutunga cv za uongo hai fai godbless lema anijibu kama kweli ameokoka?
Kakuomba kazi, mpaka utake kujua CV yake we vipi bwana, wivu tu.
Kakuomba kazi, mpaka utake kujua CV yake we vipi bwana, wivu tu.
Wazazi siendi mbali na subiri majibu hapa! niwakati wa kupitia taarifa za wabunge wote nchi haiwezi kuongozwa na watu waongo na wahuni ikafika mahali kudanganya elimu ni uhuni.Wapi GODBLESS LEMA NA WAPAMBE WAKE !
Niko hap kamali Optimus the great the one and only
Jamani ukweli unauma! Si aseme tu kweli hata kama elimu yake ni ya KINDERGATEN?Kuliko kujipachika sifa za kielimu usizokuwa nazo.HATA MEMKWA HAWAWEZI KUSOMA KWA MTINDO WA MH.HUYO
Unachosema ni kweli ila kwa Profesa Maji marefu kuishia darasa la saba ni taarifa sahihi hakuna walipokosea na wala hakuna makosa ya uchapaji.
Wazazi siendi mbali na subiri majibu hapa! niwakati wa kupitia taarifa za wabunge wote nchi haiwezi kuongozwa na watu waongo na wahuni ikafika mahali kudanganya elimu ni uhuni.Wapi GODBLESS LEMA NA WAPAMBE WAKE !
Niko hap kamali Optimus the great the one and only