Arabian Eagle
Member
- Oct 1, 2018
- 71
- 45
Ulichojibu hakihusiani na swali kaka.. lakini anyway nimeshapata ufumbuzi.Jumla matumizi yako ni watts 129 kwa (economic view huu utakua mtambo wa watts 200 ).... hapa utahitaji battery atleast ya N150 panel watts 100×2 controlla 20A(unaweza pata ata 10A sio mbaya na invetor watts 500......usiku hutowasha tv full time mpaka saa 4 then unaacha taa zenyewe zitapiga mpaka asubuhi .....ukitaka kuongeza muda wa kuangalia tv usiku unaweza kwenda na mtambo wa watts300 .......hu unakua na panel 2 za watts 150 kila moja ...controla 20A invetor watts 750 na batter mbili za N100