Bunge letu la ajabu sana, siku Serikali ikisema elimu ya msingi iwe kwa Kiiingereza watashangilia na kugonga meza

live on

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
792
1,268
Ukweli ni kwamba hili Bunge la Tanzania halina manufaa yoyote Kwa watanzania kazi Yao ni kuficha madhaifu ya serikali ya CCM kupitisha na kubariki mikataba mibovu ya rasilimali za nchi yetu rejea Richmond, Gase, madini, Bandari ya Bagamoyo na DP world.

Watanzania wote tunajua elimu ya Tanzania imekuwa ngumu na mzunguko mkubwa Kwa sababu ya kutumia lugha ya kiswahili shule za msingi alafu gafla ukingia secondary unakutana na lugha ya kingereza.

Hata wabunge wetu wanalijua hili ila hawana uwezo wa kuishinikiza serikali ianze kutoa elimu ya msingi Kwa lugha ya kingereza ila siku Rais au waziri Kwa utashi wake akiamua iwe hivyo watamsifia sana watashangilia sana na kugonga meza wakati ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wao.

In short Bunge letu limeshindwa kutupa watanzania kitu roho inapenda
 
Nakumbuka siku Waziri wa elimu alipoamua kufuta masomo ya biashara shule za secondary walipiga meza kushangilia na kuunga mkono hoja, alipokuja Waziri mwengine kuyarudisha walishangilia tena na kuunga mkono hoja.

Wapo kama waumini wa dini fulani kila wanachoambiwa wanakubali, they don't think, don't reason, don't doubt, don't argue, and don't ask.
 
Wananchi waamke watoto wa wanasiasa wanasoma English medium wao kayumba halafu wanaamishwa kutumia kiswahili ni uzalendo!

fvc ccm!
 
Ukweli ni kwamba hili Bunge la Tanzania halina manufaa yoyote Kwa watanzania kazi Yao ni kuficha madhaifu ya serikali ya CCM kupitisha na kubariki mikataba mibovu ya rasilimali za nchi yetu rejea Richmond, Gase, madini, Bandari ya Bagamoyo na DP world

Watanzania wote tunajua elimu ya Tanzania imekuwa ngumu na mzunguko mkubwa Kwa sababu ya kutumia lugha ya kiswahili shule za msingi alafu gafla ukingia secondary unakutana na lugha ya kingereza
Hata wabunge wetu wanalijua hili ila hawana uwezo wa kuishinikiza serikali ianze kutoa elimu ya msingi Kwa lugha ya kingereza ila siku raisi au waziri Kwa utashi wake akiamua iwe hivyo watamsifia sana watashangilia sana na kugonga meza wakati ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wao

In short Bunge letu limeshindwa kutupa watanzania kitu roho inapenda
Ningekuwa na mamlaka nafuta jini la kiswahili kama lugha ya kufundishia s/msingi.
 
Ukweli ni kwamba hili Bunge la Tanzania halina manufaa yoyote Kwa watanzania kazi Yao ni kuficha madhaifu ya serikali ya CCM kupitisha na kubariki mikataba mibovu ya rasilimali za nchi yetu rejea Richmond, Gase, madini, Bandari ya Bagamoyo na DP world

Watanzania wote tunajua elimu ya Tanzania imekuwa ngumu na mzunguko mkubwa Kwa sababu ya kutumia lugha ya kiswahili shule za msingi alafu gafla ukingia secondary unakutana na lugha ya kingereza
Hata wabunge wetu wanalijua hili ila hawana uwezo wa kuishinikiza serikali ianze kutoa elimu ya msingi Kwa lugha ya kingereza ila siku raisi au waziri Kwa utashi wake akiamua iwe hivyo watamsifia sana watashangilia sana na kugonga meza wakati ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wao

In short Bunge letu limeshindwa kutupa watanzania kitu roho inapenda
Hatuna BUNGE tuna Wajumbe wa CCM na Akili zao zinajulikana Walipitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo wakati wa Kikwete
Alipokuja Magufuli wakaikana kaja Mama Samia Wamepitisha tena
 
Nakumbuka siku Waziri wa elimu alipoamua kufuta masomo ya biashara shule za secondary walipiga meza kushangilia na kuunga mkono hoja, alipokuja Waziri mwengine kuyarudisha walishangilia tena na kuunga mkono hoja.

Wapo kama waumini wa dini fulani kila wanachoambiwa wanakubali, they don't think, don't reason, don't doubt, don't argue, and don't ask.

Hakika,sijui nani alituwekea watanzania hii laana
 
Ukweli ni kwamba hili Bunge la Tanzania halina manufaa yoyote Kwa watanzania kazi Yao ni kuficha madhaifu ya serikali ya CCM kupitisha na kubariki mikataba mibovu ya rasilimali za nchi yetu rejea Richmond, Gase, madini, Bandari ya Bagamoyo na DP world.

Watanzania wote tunajua elimu ya Tanzania imekuwa ngumu na mzunguko mkubwa Kwa sababu ya kutumia lugha ya kiswahili shule za msingi alafu gafla ukingia secondary unakutana na lugha ya kingereza.

Hata wabunge wetu wanalijua hili ila hawana uwezo wa kuishinikiza serikali ianze kutoa elimu ya msingi Kwa lugha ya kingereza ila siku Rais au waziri Kwa utashi wake akiamua iwe hivyo watamsifia sana watashangilia sana na kugonga meza wakati ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wao.

In short Bunge letu limeshindwa kutupa watanzania kitu roho inapenda
Usitegemee chochote zaid ya meza kupigwa mbata za kutosha!!
 
Ila hulazimishwi kutumia kiswahili

Kuna uchaguzi wa kulipia utumie kiingeleza.

Maswala yako usiyaachie serikali
 
Ukweli ni kwamba hili Bunge la Tanzania halina manufaa yoyote Kwa watanzania kazi Yao ni kuficha madhaifu ya serikali ya CCM kupitisha na kubariki mikataba mibovu ya rasilimali za nchi yetu rejea Richmond, Gase, madini, Bandari ya Bagamoyo na DP world.

Watanzania wote tunajua elimu ya Tanzania imekuwa ngumu na mzunguko mkubwa Kwa sababu ya kutumia lugha ya kiswahili shule za msingi alafu gafla ukingia secondary unakutana na lugha ya kingereza.

Hata wabunge wetu wanalijua hili ila hawana uwezo wa kuishinikiza serikali ianze kutoa elimu ya msingi Kwa lugha ya kingereza ila siku Rais au waziri Kwa utashi wake akiamua iwe hivyo watamsifia sana watashangilia sana na kugonga meza wakati ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wao.

In short Bunge letu limeshindwa kutupa watanzania kitu roho inapenda
Zamani niliamini kuwa bunge ndio hutunga sheria, ila kwa sasa ukweli wote uko wazi kuwa bunge ni rubber stamp ya serikali. Na baada ya CCM kuzidi kupoteza ushawishi wa kisiasa na kulazimisha kupata wabunge bila ridhaa ya wananchi, serikali ndio imepoka hata nguvu kidogo iliyo nayo bunge ya kufanya maamuzi. Kwa sasa kinachotakiwa na serikali, huko bungeni kinapita bila hata nukta kubadilishwa.
 
Ukweli ni kwamba hili Bunge la Tanzania halina manufaa yoyote Kwa watanzania kazi Yao ni kuficha madhaifu ya serikali ya CCM kupitisha na kubariki mikataba mibovu ya rasilimali za nchi yetu rejea Richmond, Gase, madini, Bandari ya Bagamoyo na DP world.

Watanzania wote tunajua elimu ya Tanzania imekuwa ngumu na mzunguko mkubwa Kwa sababu ya kutumia lugha ya kiswahili shule za msingi alafu gafla ukingia secondary unakutana na lugha ya kingereza.

Hata wabunge wetu wanalijua hili ila hawana uwezo wa kuishinikiza serikali ianze kutoa elimu ya msingi Kwa lugha ya kingereza ila siku Rais au waziri Kwa utashi wake akiamua iwe hivyo watamsifia sana watashangilia sana na kugonga meza wakati ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wao.

In short Bunge letu limeshindwa kutupa watanzania kitu roho inapenda
Hawa hata waambiwe kuuza nchi wao watapiga makofi sn
 
Ila hulazimishwi kutumia kiswahili

Kuna uchaguzi wa kulipia utumie kiingeleza.

Maswala yako usiyaachie serikali
We unahisi ni kwanini serikali imerusu shule za private wafundishe elimu ya msingi Kwa kingereza alafu wao shule zao hawataki elimu ya msingi iwe Kwa kingereza

Au na wewe ndio wale wagonga meza
 
We unahisi ni kwanini serikali imerusu shule za private wafundishe elimu ya msingi Kwa kingereza alafu wao shule zao hawataki elimu ya msingi iwe Kwa kingereza

Au na wewe ndio wale wagonga meza
We kma jichange usomeshe privy, acha lawama shoga
 
Ukweli ni kwamba hili Bunge la Tanzania halina manufaa yoyote Kwa watanzania kazi Yao ni kuficha madhaifu ya serikali ya CCM kupitisha na kubariki mikataba mibovu ya rasilimali za nchi yetu rejea Richmond, Gase, madini, Bandari ya Bagamoyo na DP world.

Watanzania wote tunajua elimu ya Tanzania imekuwa ngumu na mzunguko mkubwa Kwa sababu ya kutumia lugha ya kiswahili shule za msingi alafu gafla ukingia secondary unakutana na lugha ya kingereza.

Hata wabunge wetu wanalijua hili ila hawana uwezo wa kuishinikiza serikali ianze kutoa elimu ya msingi Kwa lugha ya kingereza ila siku Rais au waziri Kwa utashi wake akiamua iwe hivyo watamsifia sana watashangilia sana na kugonga meza wakati ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wao.

In short Bunge letu limeshindwa kutupa watanzania kitu roho inapenda
Hiyo wanaweza wasipitishe kuhofia biashara zao za shule binafsi kudorola
 
Back
Top Bottom