Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,598
- 13,645
Nilipokuwa nikimsikiliza jpm anasema yupo kwa ajiri ya wanyonge nilikuwa simwelewi kabisa sasa naanza kumwelewa. Asante jpm kurudisha hadhi ya wasomi has a wasomi ambao hawakuwa na channel ya kupata ajira. Ajira zote zilukuwa zimebebwa na watoto Wa vigogo ambao wengine hawana vyeti wala qualification husika.
Baada ya kulivalia njuga swala la wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki sasa huku mtaani tunaheshimiwa sana tuliosoma na kupata degree zinazoeleweka.
Soon ajira zitamwagwa na watoto Wa maskini ambao hawakuwa na namna ya kupata ajira sasa watapata. Juzi nilikuwa hapo udsm karibu wanafunzi wote wanafurahi mana angalau mtu akimaliza hahitaji kupata connection ili apate ajira au achezewe kimwili ndo apate ajira ambayo bila kufanya hivyo ajira innge mbypass.
Mtaani walala hoi tunakufuragia na kukuombea kwa mungu
Swala la unga na sukari kupanda bei ni swala mda tu hasa kutoka na demand na supply pekee.
Asante baba umetuokoa sisi ambao tulikuwa hatuna sauti. Ilifikia hatua ukigraduate kama ni binti basis muone rizione ili akuungabishe na lazima akulambe kwanza au umuone mbowe ili akutafune kwanza baadaye akuunganishe au aukupe ubunge Wa viti maalumu na vigogo wengine pia
Baada ya kulivalia njuga swala la wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki sasa huku mtaani tunaheshimiwa sana tuliosoma na kupata degree zinazoeleweka.
Soon ajira zitamwagwa na watoto Wa maskini ambao hawakuwa na namna ya kupata ajira sasa watapata. Juzi nilikuwa hapo udsm karibu wanafunzi wote wanafurahi mana angalau mtu akimaliza hahitaji kupata connection ili apate ajira au achezewe kimwili ndo apate ajira ambayo bila kufanya hivyo ajira innge mbypass.
Mtaani walala hoi tunakufuragia na kukuombea kwa mungu
Swala la unga na sukari kupanda bei ni swala mda tu hasa kutoka na demand na supply pekee.
Asante baba umetuokoa sisi ambao tulikuwa hatuna sauti. Ilifikia hatua ukigraduate kama ni binti basis muone rizione ili akuungabishe na lazima akulambe kwanza au umuone mbowe ili akutafune kwanza baadaye akuunganishe au aukupe ubunge Wa viti maalumu na vigogo wengine pia