Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 21,328
- 46,109
Hiyo elimu yako ikusaidie uajiliwe.
ndio, tunaenda shule ili tupate cheti tuajiriwe!Kwa mtazamo huu, ni sawa na kusema tunaenda shule ili tupate vyeti na si kupata ujuzi ili tuajiriwe?
Ndio natafuta sehemu wanapohitaji cheti, niwapelekee ili wanipe ajiraHiyo elimu yako ikusaidie uajiliwe.
Kila la kheriNdio natafuta sehemu wanapohitaji cheti, niwapelekee ili wanipe ajira
Kama cheti kipo nikashindwa kuwahudumia wagonjwa kutokana na kukosa ujuzi, hapo itakuwaje?You can't practice medicine bila cheti hata uwe daktari mzuri namna gani!
development studies PhDUlisomea vitu gani hasa mkuu
Kitu gani hasa kinazuia usigundue jambo? Si ugundue hata dawa ya asili ya Uzazi wa mpango?development studies PhD
siku hizi haiwezekani kupata cheti cha magumashi au ch mtu kama zamani, vyeti vya sasa vina picha ya mhusikaKwa hiyo nikitumia njia za mkato nikapata cheti, nitakuwa tayari nina elimu?
Nitaanzia wapi sasa kuvumbua?Kitu gani hasa kinazuia usigundue jambo? Si ugundue hata dawa ya asili ya Uzazi wa mpango?
Mimi naona tufungu huu mjadala kwa hilo jibu lako...Kujibu swali lako...
Itategemea uko nchi gani hapa duniani...
Kwa hapa kwetu (Tanzania) Elimu ni cheti.
Nami naamini hivyo, Kwanza tujue elimu ni nini, tushasema ni maarifa, haijalishi maarifa haya unayapatia shule ama nyumbani, shule ni mfumo tu uliowekwa, ili pia mbele ya safari tupunguzane katika suala la ajira.Tukisema, chimbuko la elimu ni mawazo ya watu ambao hawakwenda shule ila walizaliwa na vipaji vyao, tutakuwa tunakosea?
Samahani kwa kuchelewa...Mimi naona tufungu huu mjadala kwa hilo jibu lako...