ELIMU; NAHITAJI KUJUA FAIDA NA HASARA YA 2WD, 4WD ama Rear KTK MAGARI

Ukaridayo

JF-Expert Member
Oct 8, 2012
507
469
Wakuu; mara nyingi nimesoma shauri mbali mbali humu humu jamii forum kabla hujafanya maamuzi ya kununua gari, lakini hiki kitu cha 2wd 4wd au rear huwa hakizungumziwi sana ktk shauri kwa mana ya faida na hasara..
Nimeona gari nyingine zikislip sana kwenye korogeshen hasa zile zinazosukumwa kwa tairi za mbele ukitofautisha na tairi za nyuma.
Mwenye uelewa juu ya mifumo hiyo faida zake na hasara atujuze hapa.
 
Ukitaka kununua gari chagua rear wheel drive ama 4wd zina nguvu kichizi katika kusukuma gari. Sports car si unaona zote rear wheel drive ama 4wd
 
Back
Top Bottom