Elimu kwa Rais wangu mpendwa: Neno "KATA" lina silabi mbili siyo maneno mawili

Mtarban

JF-Expert Member
Jan 14, 2015
3,818
5,007
Kuna tangazo limekuwa likirushwa kupitia Luninga na vituo vya redio na kupitia tangazo hilo imekuwa ikisikika sauti ya mheshimiwa Rais akiwataka TANESCO kukata umeme popote pale bila kuogopa.

Mheshimiwa husikika akikazia KATA!!!! na baadae anasema ni maneno mawili tu, 'KA' na 'TA'

Jamani hayo siyo maneno Bali kwa lugha rahisi ya kiswahili zinaitwa silabi ambazo ndizo zinazounda neno KATA.

Najuwa wengi mtakuwa mmeelewa hata kwa wale ambao mlikuwa hamjui

Kwa mantiki hii na kupitia Uzi huu sasa ninaziomba mamlaka husika kufuta tangazo lile kwani linaweza kuwa chanzo cha Rais wetu kudharaurika.
 
mkulu wetu kiswahili kinamsumbua labda neno KATA litakuwaje na maneno mawili tena?
yaani neno moja halafu tena lina maneno mawili!!!
 
Kuna tangazo limekuwa likirushwa kupitia Luninga na vituo vya redio na kupitia tangazo hilo imekuwa ikisikika sauti ya mheshimiwa Rais akiwataka Tanesco kukata umeme popote pale bila kuogopa.

Mheshimiwa husikika akikazia
KATA!!!! na baadae anasema ni maneno mawili, 'KA' na 'TA'

jamani hayo siyo maneno Bali ni kwa lugha rahisi ya kiswahili zinaitwa silabi ambazo ndizo zinazounda neno KATA.

Najuwa wengi mtakuwa mmeelewa hata kwa wale ambao mlikuwa hamjui

mnakosoa kila kitu, it was just funny yeye kusema vile
 
Hapo shida fanyeni kazi bwana mtuache na rais wetu mpendwa kwan namba ndo mnaisoma hvo

Ccm ni ile ile 2020
 
Hapo shida fanyeni kazi bwana mtuache na rais wetu mpendwa kwan namba ndo mnaisoma hvo

Ccm ni ile ile 2020

hapana kwa akili yako tukimuacha utapotea, maana kama mambo madogo hivi anaboronga unafikiri tukimuacha aondoke na wewe na akili yako tutakuokota kweli
 
Back
Top Bottom