Elimu kwa Rais wangu mpendwa: Neno "KATA" lina silabi mbili siyo maneno mawili

Kuna tangazo limekuwa likirushwa kupitia Luninga na vituo vya redio na kupitia tangazo hilo imekuwa ikisikika sauti ya mheshimiwa Rais akiwataka Tanesco kukata umeme popote pale bila kuogopa.

Mheshimiwa husikika akikazia
KATA!!!! na baadae anasema ni maneno mawili, 'KA' na 'TA'

jamani hayo siyo maneno Bali ni kwa lugha rahisi ya kiswahili zinaitwa silabi ambazo ndizo zinazounda neno KATA.

Najuwa wengi mtakuwa mmeelewa hata kwa wale ambao mlikuwa hamjui
USINIPAGHIE!!!
 
Mkuu anatumia wakaaa hahaaaa, hii inachanganya kisukuma na lugha pendwa kiswahili. Ka'a taa', hata hivyo maana siyo hiyo anayomanisha yeye hahaaa
 
mnakosoa kila kitu, it was just funny yeye kusema vile
Ni ujinga unamsumbua. Km kitu hakujui angeuliza.
Fonimu+Fonimu=Silabi
Silabi + silabi=Neno
Neno + Neno=Sentensi
Sentensi + sentensi=Aya
Kukosoa kupo. Acha ujinga ww, km kaharibu tumuangalie tu kisa yy ni raisi? Angewasiliana na wataalamu wa lugha kwanza.
Acha ujinga ww. Huwa nawaambia nyie ccm, mjiangalie sana. Watu wa sasa hivi siyo wale wa mwaka 1947 ambao hawajui lolote, hawa ni watu wa 2017 ambao huwezi kuwadanganya. Huwezi kuongea utumbo wanakuangalia tu. Hii ni NEW GENERATION
 
Kuna tangazo limekuwa likirushwa kupitia Luninga na vituo vya redio na kupitia tangazo hilo imekuwa ikisikika sauti ya mheshimiwa Rais akiwataka Tanesco kukata umeme popote pale bila kuogopa.

Mheshimiwa husikika akikazia
KATA!!!! na baadae anasema ni maneno mawili, 'KA' na 'TA'

jamani hayo siyo maneno Bali ni kwa lugha rahisi ya kiswahili zinaitwa silabi ambazo ndizo zinazounda neno KATA.

Najuwa wengi mtakuwa mmeelewa hata kwa wale ambao mlikuwa hamjui
Najuwa=ninajua
 
Ni ujinga unamsumbua. Km kitu hakujui angeuliza.
Fonimu+Fonimu=Silabi
Silabi + silabi=Neno
Neno + Neno=Sentensi
Sentensi + sentensi=Aya
Kukosoa kupo. Acha ujinga ww, km kaharibu tumuangalie tu kisa yy ni raisi? Angewasiliana na wataalamu wa lugha kwanza.
Acha ujinga ww. Huwa nawaambia nyie ccm, mjiangalie sana. Watu wa sasa hivi siyo wale wa mwaka 1947 ambao hawajui lolote, hawa ni watu wa 2017 ambao huwezi kuwadanganya. Huwezi kuongea utumbo wanakuangalia tu. Hii ni NEW GENERATION

Asante sana kwa kumuelewesha huyo Ki.laza Wa lumumba
 
Kuna tangazo limekuwa likirushwa kupitia Luninga na vituo vya redio na kupitia tangazo hilo imekuwa ikisikika sauti ya mheshimiwa Rais akiwataka Tanesco kukata umeme popote pale bila kuogopa.

Mheshimiwa husikika akikazia
KATA!!!! na baadae anasema ni maneno mawili, 'KA' na 'TA'

jamani hayo siyo maneno Bali ni kwa lugha rahisi ya kiswahili zinaitwa silabi ambazo ndizo zinazounda neno KATA.

Najuwa wengi mtakuwa mmeelewa hata kwa wale ambao mlikuwa hamjui
 
Aiseeeh.......hivi hamnaga kazi za kufanya????....Unapata wapi muda wa kufuikiria jambo dogo namna hii???

We kweli kwa hyo unahisi wewe tu ndo unafanya kazi???

Kwa hyo unatupatia chakula kila siku????

We umepata muda wa ku-comment kama unafanya kazi???

Kama unashindwa kufikiri mambo madogo kama haya makubwa utayaweza???

Kufuikiria=kufikiria
 
Back
Top Bottom