Elimu kwa mabasi yaendayo kasi

Elimu kwa mabasi yaendayo kasi

Mi ningependelea badala ya kua lami pekeyake basi wangeweka reli ili zisiyumbe na kusababisha ajali!!
 
kama haya mabasi yatakuwa yanaenda mpaka ferry ningependekeza wale ndugu zetu wanaofanya biashara za samaki watengewe mabasi yao. Maana kero na shombo la samaki kuna baadhi ya wadau najua mnalitambua hilo. Utakuta jamaa anaingia na mkapu wa samaki halafu anakuwekea puani kwako kabisa na ole wako ufungue mdomo.
hasa kuna mbabu mmja jeuri kweli kweli alafu huwa wanachafua watu makusud hasa akuone umependeza nongwa
 
Hivi na msafara wa Raisi utakuwa unapita hapo na kama ukiwa unapita mabasi yatasimamishwa?

Mi nadhani wangeanza kuboresha barabara za mitaani kwanza na kukarabati barabara zisizo na ubora.. lakini kibongobongo kipya kinyemi ingawa kidonda, tena ndugu
 
Huu mradi nimeufuatilia na kuuona ni Maafa kwa watumiaji wengine!! Hii Itakuwa ni aibu sana!! Kwanza kutoka Ubungo Kibo hadi Kimara mwisho Kutakuwa na single lane kwa barabara za watumiaji wengine wa barabara!!
Pia kila baada ya Hizo mita 500 kwenye barabara za watumiaji wengine kutakuwa kunawekwa matuta kuzuia watumiaji wengine ili kuruhusa wapandaji kwenye Mabasi!!
What type of a Bogus Project is This!! Magufuli amka angalia hizo ramani Mapema zifanyiwe review!! Kwani ni aibu!!
 
Ishu nkwmba magar yaenday kac yatapta katkat na magar mengne yatapta upande wa kulia na kushoto,kweny junction kama ubng moroko kutakuwa barbar za juu na kuhusu usalama alamazote za usalamazta wekwa pia kutakuwa na njia maalum kwa waendesha pkpk,baskel na watembeaj wa mguu.
 
wewe jamaa ni kilaza sana .. Huu mradi hatujautunga sisi huu unatumika kwenye nchi kibao. Acha bangi na kupinga kila kitu kama ni biashara zenu za madaladala mtayahamishia huko kibaha
 
Huu mradi nimeufuatilia na kuuona ni Maafa kwa watumiaji wengine!! Hii Itakuwa ni aibu sana!! Kwanza kutoka Ubungo Kibo hadi Kimara mwisho Kutakuwa na single lane kwa barabara za watumiaji wengine wa barabara!!
Pia kila baada ya Hizo mita 500 kwenye barabara za watumiaji wengine kutakuwa kunawekwa matuta kuzuia watumiaji wengine ili kuruhusa wapandaji kwenye Mabasi!!
What type of a Bogus Project is This!! Magufuli amka angalia hizo ramani Mapema zifanyiwe review!! Kwani ni aibu!!

Wewe ndio hujaielewa
 
Wewe ndio hujaielewa

Naona ndugu yangu umelewa na Architectural drawings. Mimi nimefuatilia structural na construction drawings!! Nikagundua hayo mapungufu!! Just Trust My word because I have the copy of what is supposed to be Constructed!!
 
Naona ndugu yangu umelewa na Architectural drawings. Mimi nimefuatilia structural na construction drawings!! Nikagundua hayo mapungufu!! Just Trust My word because I have the copy of what is supposed to be Constructed!!

Tell me more mkuu
 
wewe jamaa ni kilaza sana .. Huu mradi hatujautunga sisi huu unatumika kwenye nchi kibao. Acha bangi na kupinga kila kitu kama ni biashara zenu za madaladala mtayahamishia huko kibaha
Mhh, kaka maneno makali sana hayo, jaribu kuiheshimu hiyo title yako, "saint", just saying..
 
Ni vema tufafanuliwe hizo strucural drawings zipoje ili kuondoa UBISHI
 
Back
Top Bottom