Elimu kuhusu nguvu za kiume

Elimu kuhusu nguvu za kiume

Nilienda kwa Dr mmoja wa maswala ya uzazi aliniambia issue zifutazo ngoja ni share na meni wenzangu.
1. kuwahi kufika/kuchelewa sana ni ugonjwa. Hii inasabibisha na tension au upungufu wa manii. Tension inaweza kuwa ni kutokana na maisha yetu ya kila siku. Upungufu wa manii au nguvu ya manii inatokana na kutolala mapema.
2 Erection, Kuna ile maximum Erection ambayo inaweza kumsaidia mwanaume kuunganisha twice baada ya ejaculation bila kushuka au ku Erect mapema baada ya kufika mwisho. Hapa exercise zinahitajika physical exercises na penile exercises. Ili kuwa na nguvu hii muscles za penis zinatikwa kuwa strong na flow ya damu iwe kubwa kwenda Kwenye kichwa cha penis. Pia muscles za penis zinaweza ku strong kwa ku sex continuously. Sio una sex once per month afu unategemea upate Big Results Now kitandani.

3. Vyakula, vyakula vyenye cholesterol vinazuia damu ku flow vizur kwenye muscles za penis. Pia Kuna baadhi ya vyakula vina punguza uzalishaji wa sperms...

NB. Pombe, kuchelewa kulala, vyakula vya mafuta , kutofanya mazoez na stress zisizoisha zinachangia sana kupunguza uwezo wetu kitandani.
Ushauri afya ya uzazi na mahusiano tembeleeni ma Dr wa hiyo kitu.
 
Wengi tumekomalia vyakula tu na kuwasema walioko mjini hasa Dar kua ndio waathirika zaidi kisa chips mayai ila kwenye uhalisia hili tatizo ni kubwa kwa jamii yote hata huko mikoani na vijijini hili balaa lipo ila watu wanajificha kwenye kivuli cha kuishi mikoani.
Vyakula ni sababu pia ila tunasahau mfumo mzima wa maisha umebadilika sana maisha yameleta msongo wa mawazo kwa kiasi kikubwa na kujamiiana kunataka hisia chanya sasa hata uwe umekula dona 1kg na majani ya kunde lakini una stress ya mafuta ya taa na mbolea shambani hauwezi ku-perfom kwa kiwango sahihi kubadilika kwa life style kumefanya fikra za ngono nazo zibadilike kwa sasa ngono imekua bidhaa cheap pia just imagine kopo la kahawa muda wote liko wazi lazima kahawa ipoteze ubora simply wanaume sasa ivi tunaviona uku ofisini na mtaani vile ambavyo tulitakiwa tuvione chumbani ili vilete hamasa mfn unamtongoza binti ushaona kila kiungo cha mwili wake unabakiza kukamilisha ratiba tu sasa hamu utaitoa wapi.
 
Mm niliwahi kupata hilo tatizo nikaenda kwa babu yangu akaniunganishia kwa 10000 sasa hv naweza kupanda mara 10 bila kuchoka na mashine imerudi kwenye form kwani hili tatizo linaweza kusababishwa na mwanaume kuwa anafanya Mapenzi na mwanamke aliyemaliza period muda mfupi
 
SIO KWELI HIYO NI PROMO 10 BILA KUCHOKA LABDA MFUNGWA ALIE KAA NDANI MIAKA NAE SIO KILA SIKU BAO KUMI
Mm niliwahi kupata hilo tatizo nikaenda kwa babu yangu akaniunganishia kwa 10000 sasa hv naweza kupanda mara 10 bila kuchoka na mashine imerudi kwenye form kwani hili tatizo linaweza kusababishwa na mwanaume kuwa anafanya Mapenzi na mwanamke aliyemaliza period muda mfupi
 
PAFOMENS YA UWIANO WA NUSU SAA KWA KIBABA KIMOJA INAMAANISHA WEWE UTATUMIA MASAA MATANO UPO HEWANI MUDA MZURI WA KUANZA MECHI NI KUANZIA SAA TATU AMA SAA NNE INAMAANA MPAKA SAA NANE AU TISA UTAKUWA ONLINE??
Mkuu, kumpa mtu mimba sio ushahidi kuwa aliyempa hiyo mimba hana upungufu wa kiume, kumbuka kuwa sio lazima mwanamke afikie kilele ili apate mimba, kwa hiyo unaweza kumpa miamba mkeo kila mwaka lakini hajawahi kufika kilele na kufurahia tendo la ndoa. Ndo maana mtoa mada kasema inahitajika elimu, aidha, mtu anaweza kuwa anadhani kuwa ana upungufu wa hizo nguvu, kumbe ni elimu ya tendo hilo hana, kwa hiyo hata maandalizi hafanyi wakati wa tendo la ndoa kitendo ambacho humfanya kumaliza kabla ya mwezi wake.
 
Wadada sisi tunataka mgegedo wa walau kwa wiki mara 5 ,siku mbili za kupumzika.
Sa unakuta mmeo kila saa yupo vikao vya ofisi mara kuangalia mpira eti EURO ,unakuta nina hamu mpaka nimelowa anakuja kunipa story za Messi,Ronaldo ,Rashford yaani mi namwachia houseboy kama ataendelea hivi
 
Kuna watu wanahisi kukojoa mara kibao ndio nguvu za kiume.....
Ni upotofu. Kuna mtu anapiga bao Tatu kwa Muda mrefu. Kuna mtu anaweza kujizuia dk 45 akakojoa bao moja. Hawa ndio magwiji sasa sio wale wanaonyesha bao nyingi. Utakuta nyingi ni premature.
Then Kuna vitu ambavyo nime experience personally. Ukizoea kutumia condoms then uka meet na msupaaa ukaenda pekupeku without protective gloves tambua ufanisi wako unaweza ku athiriwa na kufika mapema zaidi.
 
Wadada sisi tunataka mgegedo wa walau kwa wiki mara 5 ,siku mbili za kupumzika.
Sa unakuta mmeo kila saa yupo vikao vya ofisi mara kuangalia mpira eti EURO ,unakuta nina hamu mpaka nimelowa anakuja kunipa story za Messi,Ronaldo ,Rashford yaani mi namwachia houseboy kama ataendelea hivi
Njoo kwangu
 
Wanawake wengi pia siku hizi hawana nguvu za kike..dushe likizama na kutoka kidogo tu papuchi inakua kavu which means manzi kashaishiwa nyege yan
 
Nimepiga puli kwa muda wa miaka 15 na bado nasimamia show vizuri!Tatizo ni nini?Si wanasema puli linaaffect nguvu za kiume?
 
Wadada sisi tunataka mgegedo wa walau kwa wiki mara 5 ,siku mbili za kupumzika.
Sa unakuta mmeo kila saa yupo vikao vya ofisi mara kuangalia mpira eti EURO ,unakuta nina hamu mpaka nimelowa anakuja kunipa story za Messi,Ronaldo ,Rashford yaani mi namwachia houseboy kama ataendelea hivi


mheshimiwa Jaji, please naomba kazi ya u-houseboy nyumbani kwako madam.

Nitafanya 'majukumu' yote kwa utii na 'bidii' ya kiwango cha juu.

Nipo tayari kuanza 'kazi' muda wowote mheshimiwa jaji mfawidhi .
 
Back
Top Bottom