Naajili mtu mwenye utaramu wa hyo mambo pia mimi nakuwepo maan me bingwa sana wa kutengeneza juice mpk inayo nywewa marecan me naitengeneza bongo sijasomea ila mtundu tu ila ni lazima kuwa na mtaaramu.Huo mgahawa unakaa mwenyewe au unaajiri watu?
Ameni mkuu sema dunia ni kijiji nitakuchek unipe maujuzi.Mdau wangu Amin hicho hicho kipambanie ipo cku utakuja hapa na ushuhuda mzuri
Kwa kifupi mm ni mtaalamu wa kahawa ungekuwa Arusha ningekusaidia hata mawazo
Kila la kheri mkuu usikatishwe tamaa na mtu yeyote
Maliza nije kunywa ya kimarekani,Naajili mtu mwenye utaramu wa hyo mambo pia mimi nakuwepo maan me bingwa sana wa kutengeneza juice mpk inayo nywewa marecan me naitengeneza bongo sijasomea ila mtundu tu ila ni lazima kuwa na mtaaramu
Naingojea hyo. Kesho weekend si unajua[emoji3]Haahahahah eeh nafanya deliver mpenzi tena wewe nitaleta chapu
SawaUsimalize sasa hela.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahah muone kwanza [emoji2][emoji2][emoji2]
Nina neno la kutia hapaHabarin...nafikilia kufungua mgahawa wa kahawa wa kisasa,ila sina elimu yoyote kuhusu upishi, mgahawa uo utaambatanisha juice za matunda tofauti tofaut na chai hvo nikafikilia na kuweka vitafutwa vya aina yote bila kukosa keki.
Sasa shida yangu ni ushauri naanzia wap mtaji wangu ni wa milion 2 tu.
Na sina utaramu wa kutengeneza keki na hvo vikololo vingine
Sitaki mgahawa mkubwa nataka mudgo mdogo tu ila uwe wa kisasa kiasi kwamba mtu yeyeto anaweza ingina
Mnishauri pa kuanzia na nini cha kufanya kbla ya kuanza.
2m ni kianzio kuzuri tu...location na material...uandaaji bila kusahau care ya wateja.hii biashara ni mbadala wa pombe ama biashara za groceryHabarin...nafikilia kufungua mgahawa wa kahawa wa kisasa,ila sina elimu yoyote kuhusu upishi, mgahawa uo utaambatanisha juice za matunda tofauti tofaut na chai hvo nikafikilia na kuweka vitafutwa vya aina yote bila kukosa keki.
Sasa shida yangu ni ushauri naanzia wap mtaji wangu ni wa milion 2 tu.
Na sina utaramu wa kutengeneza keki na hvo vikololo vingine
Sitaki mgahawa mkubwa nataka mudgo mdogo tu ila uwe wa kisasa kiasi kwamba mtu yeyeto anaweza ingina
Mnishauri pa kuanzia na nini cha kufanya kbla ya kuanza.
Nakukumbushanikifanikiwe kupita weekend hii nitapiga picha ile design ya environment yao ya mbao