Elimu kubwa vs Mafanikio ya maisha

Elimu kubwa vs Mafanikio ya maisha

Teknocrat

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
7,946
Reaction score
15,702
Simaanishi kusoma hakuna maana, bali unaweza kusoma sana kwa kiwango kikubwa cha elimu lakini ukaja kukuta kitu kilichokufanya ukapata mafanikio ya maisha kwa kuwa na utajiri hata havihusiani na elimu uliyosoma.
Kuna kijana wa kisomali nilisoma nae mpaka chuo kikuu, na akaendelea mpaka Masters mimi nilichomoa,
alipomaliza akafungua duka la hardware dogo tu la misumari na vikorokoro kadhaa mikoani, mara akawa anapewa cementi na mabati kwa mali kauli, leo hii ana magorofa na vituo vya mafuta.
Sasa biashara hii hata asingesoma?
Na hapa kwa wasomali hakuna sijui uchawi au uganga, huwa hawana hayo mambo...

Kwahiyo jamani tusinganganie sana kwenye elimu kubwa, wakati hata ukiaanza kuuza mgahawa na punje moja ya mchele, unaweza kufanikiwa.....
 
Simaanishi kusoma hakuna maana, bali unaweza kusoma sana kwa kiwango kikubwa cha elimu lakini ukaja kukuta kitu kilichokufanya ukapata mafanikio ya maisha kwa kuwa na utajiri hata havihusiani na elimu uliyosoma.
Kuna kijana wa kisomali nilisoma nae mpaka chuo kikuu, na akaendelea mpaka Masters mimi nilichomoa,
alipomaliza akafungua duka la hardware dogo tu la misumari na vikorokoro kadhaa mikoani, mara akawa anapewa cementi na mabati kwa mali kauli, leo hii ana magorofa na vituo vya mafuta.
Sasa biashara hii hata asingesoma?
Na hapa kwa wasomali hakuna sijui uchawi au uganga, huwa hawana hayo mambo...

Kwahiyo jamani tusinganganie sana kwenye elimu kubwa, wakati hata ukiaanza kuuza mgahawa na punje moja ya mchele, unaweza kufanikiwa.....
Wewe hujajizungumzia
 
Jifunze kuangalia vitu kwa kina, kisha tafakari.

Uaminifu, long time connection, hela, uendeshaji au usimamizi ndio mtaji katika biashara.

we una ona duka la misumari, kumbe mjomba mkubwa ni agent wa mabati na cement.

mara manager wa benki ya mkoa fulani ni family friend, kwanini asipewe mkopo usio na riba.

Kila kitu ni muunganiko wa dots, usikute kwao walisha anza siku nyingi.
sasa we kurupuka kuacha shule kwa mkumbo wa nita toboa.
 
Jifunze kuangalia vitu kwa kina, kisha tafakari.

Uaminifu, long time connection, hela, uendeshaji au usimamizi ndio mtaji katika biashara.

we una duka la misumari, kumbe mjomba mkubwa ni agent wa mabati na cement.

mara manager wa benki ya mkoa fulani ni family friend, kwanini asipewe mkopo usio na riba.

Kila kitu ni muunganiko wa dots, usikute kwao walisha anza siku nyingi.
sasa we kurupuka kuacha shule kwa mkumbo wa nita toboa.
Hahahah dadeki umechana makavu
 
Back
Top Bottom