Codename96
Member
- Sep 17, 2020
- 90
- 85
Habari za asubuhi ndugu zangu.
Kutokana na kukosekana kwa ajira. Nataka kujikita katika biashara ya Vitunguu Sokoni. Nataka kununua kutoka mkoani na kuja kuuza Dar es salaam sokoni.
Naomba kuelimishwa utaratibu wa kuuza bidhaa sokoni kwa wale waliowahi kufanya biashara sokoni. Lakini pia ntashkuru sana kama ntashauriwa namna sahihi ya kufanya hii biashara kwa wale waliowahi kuifanya.
Kwa sasa nafikiria kufuata vitunguu kutoka mkoani. Lakini ikiwa kuna namna nyingine sahihi ya kupata bidhaa basi ntashkuru kwa ushauri.
Natanguliza shukrani.
Kutokana na kukosekana kwa ajira. Nataka kujikita katika biashara ya Vitunguu Sokoni. Nataka kununua kutoka mkoani na kuja kuuza Dar es salaam sokoni.
Naomba kuelimishwa utaratibu wa kuuza bidhaa sokoni kwa wale waliowahi kufanya biashara sokoni. Lakini pia ntashkuru sana kama ntashauriwa namna sahihi ya kufanya hii biashara kwa wale waliowahi kuifanya.
Kwa sasa nafikiria kufuata vitunguu kutoka mkoani. Lakini ikiwa kuna namna nyingine sahihi ya kupata bidhaa basi ntashkuru kwa ushauri.
Natanguliza shukrani.