MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,971
- Thread starter
- #81
Nikifafanua zaidi ya hapo... Moderators hawatachelewa kuufuta huu uzi. Tafadhali, pokea hicho kidogo!Ayao Maagano na makubaliano
Nikifafanua zaidi ya hapo... Moderators hawatachelewa kuufuta huu uzi. Tafadhali, pokea hicho kidogo!Ayao Maagano na makubaliano
Naiamini sana law of nature. Viongozi hawapaswi kuwa na mazoea kupita kiasi. Anything can happen kwasababu cause causalities zipo. #JustAMatterOfTimeNi mmbo gani tunatakiwa kufanya kama ni uzalendo basi sisi wenyew tunazuiana tukipinga vikali ata wao watajua wananchi wamekasirika zaid hivyo tuwaachie nchi Yao sasa kama kuandamana tu watu wenyew tunageukana police ushikiano zero haya mengine njia bado ngumu Uzalendo ndio kitu cha thamani pekee tulichobakiwa nacho Mungu atupe nguvu moja tu![]()
Sawa sasa vipi nawe unasemaje?? Ni makubalianao mazuri au??Elimu ya bure hii hapa;-
Kuna vitu vinne ambavyo ni muhimu vikaeleweka wazi.
1. Covenant ( Agano )
2. Agreement ( Makubalino )
3. Contract ( Mkataba)
4. Authority ( Mamlaka )
Siku zote AGANO lazima liendane na MKATABA, na pia MAKUBALINO lazima yandane na MAMLAKA. Vitu hivi hukaa viwiliviwili kama mapacha vile au kama "ntu na nkewe!"
Sasa basi, unajua kwanini Watanzania wanapiga kelele sana kuhusu Bandari yao Sababu ni kwamba hawa DP World wameingia Makubaliano na Tanzania, na tena Tanzania ikajifunga kwa kuwapa Mamlaka makubwa sana katika Ardhi yake.
Eheh
eh
Sheeiiiilllaaaaa.....el-morondo paranqwine!!!??
Note 1: DP WORLD haijafanya Mkataba wowote na Tanzania. Kilichofanyika ni Makubaliano tu.
Note 2: Hakuna kitu Kibaya katika maisha kama Makubalino, kwa sababu kama yakikeukwa, basi wajibu na majukumu huwa vinasambaratika na kusababisha uvunjifu wa Amani.
Nimeandika kizalendo kabisa nikiwa hapa Kijijini Chamwino Ikulu.
Issue ipo kwenye MAKUBALIANO , vile vifungu vitizamwe UPYA. Vina ukakasi.Sawa sasa vipi nawe unasemaje?? Ni makubalianao mazuri au??
Kwer kabisa yaaniNaiamini sana law of nature. Viongozi hawapaswi kuwa na mazoea kupita kiasi. Anything can happen kwasababu cause causalities zipo. #JustAMatterOfTime
KELELE zilikua nyingi huko nje...wabunge wakaamua kuliongelea kwà dharuraKama sio mkataba ulipelekwa bungeni kuwa ratified Kwa nini?
Makubaliano ndo yanaenda Bungeni? mmmm muulize mwalimu wako tena akuangalizie majibu.Umeelewa sasa?
Maana Mimi nasikia tu....Mkataba...mara ooh MAKUBALIANO....yaani watu wanaongea ongea tu ...hata havieleweki. Ni wachache sana wanaopatia ...
Sisi tumeingia MAKUBALIANO. Hatuna Mkataba na hao jamaa! Ova
Suala hili lilipelekwa kwà dharura bungeni ,...kutokana na KELELE zinazoendelea huku nje. Lilipelekwa kujadiliwa tu.Makubaliano ndo yanaenda Bungeni? mmmm muulize mwalimu wako tena akuangalizie majibu.
Embu peleka ukilaza wako hukoKELELE zilikua nyingi huko nje...wabunge wakaamua kuliongelea kwà dharura
Kwahiyo Dp world tayari ni Mkataba? Unataka kusema tayari tumeisha yapitisha makubaliano na yameishakua Mkataba?Embu peleka ukilaza wako huko
Kwahiyo Dp world tayari ni Mkataba? Unataka kusema tayari tumeisha yapitisha makubaliano na yameishakua Mkataba?
Huo Mkataba wa DP world upo wapi?
AiseeNdio ule ni mkataba Mama .Na ndio maana ukapelekwa bungeni kuwa ratified
Itakayofatia itakuwa Mikataba midogo ambayo haitakiwi kuwa tofauti na mkataba mama
Good thinkingNdugu yangu..., Hao jamaa ....KWANZA ;- walikua attacked spiritually....then wakawa tempted, and finally wakawa seduced......kwahiyo hata mkipiga KELELE za aina gani...wataendelea tu kufanya mambo yao ili kutimiza azma yao.
Kama Watanzania , ni vyema tukachukua hatua za haraka kuwa dhibiti.

Bunge limefuta KUMBUKUMBU za mjadala wa DP WorldGood thinking
Kwanini KUMBUKUMBU za mjadala huo zimefutwa?Ndio ule ni mkataba Mama .Na ndio maana ukapelekwa bungeni kuwa ratified
Itakayofatia itakuwa Mikataba midogo ambayo haitakiwi kuwa tofauti na mkataba mama