Elimu: DP WORLD haina Mkataba wowote Tanzania

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Feb 10, 2023
2,706
4,923
Elimu ya bure hii hapa;-

Kuna vitu vinne ambavyo ni muhimu vikaeleweka wazi.
1. Covenant ( Agano )
2. Agreement ( Makubalino )
3. Contract ( Mkataba)
4. Authority ( Mamlaka )

Siku zote AGANO lazima liendane na MKATABA, na pia MAKUBALINO lazima yandane na MAMLAKA. Vitu hivi hukaa viwiliviwili kama mapacha vile au kama "ntu na nkewe!"

Sasa basi, unajua kwanini Watanzania wanapiga kelele sana kuhusu Bandari yao Sababu ni kwamba hawa DP World wameingia Makubaliano na Tanzania, na tena Tanzania ikajifunga kwa kuwapa Mamlaka makubwa sana katika Ardhi yake.

Eh eh eh Sheeiiiilllaaaaa.....el-morondo paranqwine!!!??

Note 1: DP WORLD haijafanya Mkataba wowote na Tanzania. Kilichofanyika ni Makubaliano tu.

Note 2: Hakuna kitu Kibaya katika maisha kama Makubalino, kwa sababu kama yakikeukwa, basi wajibu na majukumu huwa vinasambaratika na kusababisha uvunjifu wa Amani.

Nimeandika kizalendo kabisa nikiwa hapa Kijijini Chamwino Ikulu.
 
Hili bandiko ulitotuletea ni utashi wako au it bases on facts?
Hili desa nimelidownload from above via meditation. Then nikaja kucompare na huku chini + kuwasikiliza wadau ...

Hii ngoma , Sir God pia ana fight ...so KILA siku utakua unasikia habari tofauti kuhusu DP World ...kuna watu ambao wamewekwa na Mungu ili wastruggle kulipush hili jambo litoke hapa TZ.

So endapo Viongozi watakua wabishi kama Farao...basi tutegemee lolote kutokea.
 
Dp World
dp-world.jpg
 
Elimu ya bure hii hapa;-

Kuna vitu vinne ambavyo ni muhimu vikaeleweka wazi.
1. Covenant ( Agano )
2. Agreement ( Makubalino )
3. Contract ( Mkataba)
4. Authority ( Mamlaka )

Siku zote AGANO lazima liendane na MKATABA, na pia MAKUBALINO lazima yandane na MAMLAKA. Vitu hivi hukaa viwiliviwili kama mapacha vile au kama "ntu na nkewe!"

Sasa basi, unajua kwanini Watanzania wanapiga kelele sana kuhusu Bandari yao Sababu ni kwamba hawa DP World wameingia Makubaliano na Tanzania, na tena Tanzania ikajifunga kwa kuwapa Mamlaka makubwa sana katika Ardhi yake.

Eh eh eh Sheeiiiilllaaaaa.....el-morondo paranqwine!!!??

Note 1: DP WORLD haijafanya Mkataba wowote na Tanzania. Kilichofanyika ni Makubaliano tu.

Note 2: Hakuna kitu Kibaya katika maisha kama Makubalino, kwa sababu kama yakikeukwa, basi wajibu na majukumu huwa vinasambaratika na kusababisha uvunjifu wa Amani.

Nimeandika kizalendo kabisa nikiwa hapa Kijijini Chamwino Ikulu.
Makubaliano kwamba watapewa bandari zote za Tanzania milele.
 
Elimu ya bure hii hapa;-

Kuna vitu vinne ambavyo ni muhimu vikaeleweka wazi.
1. Covenant ( Agano )
2. Agreement ( Makubalino )
3. Contract ( Mkataba)
4. Authority ( Mamlaka )

Siku zote AGANO lazima liendane na MKATABA, na pia MAKUBALINO lazima yandane na MAMLAKA. Vitu hivi hukaa viwiliviwili kama mapacha vile au kama "ntu na nkewe!"

Sasa basi, unajua kwanini Watanzania wanapiga kelele sana kuhusu Bandari yao Sababu ni kwamba hawa DP World wameingia Makubaliano na Tanzania, na tena Tanzania ikajifunga kwa kuwapa Mamlaka makubwa sana katika Ardhi yake.

Eh eh eh Sheeiiiilllaaaaa.....el-morondo paranqwine!!!??

Note 1: DP WORLD haijafanya Mkataba wowote na Tanzania. Kilichofanyika ni Makubaliano tu.

Note 2: Hakuna kitu Kibaya katika maisha kama Makubalino, kwa sababu kama yakikeukwa, basi wajibu na majukumu huwa vinasambaratika na kusababisha uvunjifu wa Amani.

Nimeandika kizalendo kabisa nikiwa hapa Kijijini Chamwino Ikulu.
Watanzania sio wajinga
 
Elimu ya bure hii hapa;-

Kuna vitu vinne ambavyo ni muhimu vikaeleweka wazi.
1. Covenant ( Agano )
2. Agreement ( Makubalino )
3. Contract ( Mkataba)
4. Authority ( Mamlaka )

Siku zote AGANO lazima liendane na MKATABA, na pia MAKUBALINO lazima yandane na MAMLAKA. Vitu hivi hukaa viwiliviwili kama mapacha vile au kama "ntu na nkewe!"

Sasa basi, unajua kwanini Watanzania wanapiga kelele sana kuhusu Bandari yao Sababu ni kwamba hawa DP World wameingia Makubaliano na Tanzania, na tena Tanzania ikajifunga kwa kuwapa Mamlaka makubwa sana katika Ardhi yake.

Eh eh eh Sheeiiiilllaaaaa.....el-morondo paranqwine!!!??

Note 1: DP WORLD haijafanya Mkataba wowote na Tanzania. Kilichofanyika ni Makubaliano tu.

Note 2: Hakuna kitu Kibaya katika maisha kama Makubalino, kwa sababu kama yakikeukwa, basi wajibu na majukumu huwa vinasambaratika na kusababisha uvunjifu wa Amani.

Nimeandika kizalendo kabisa nikiwa hapa Kijijini Chamwino Ikulu.
Sawa ni makubaliano:-

Futeni huu ujinga sasa
Kusoma kiarabu nako kunahitajiks mwekezaji .
 

Attachments

  • 9EFD97E9-F893-469B-9F32-388E2A842BD9.jpeg
    9EFD97E9-F893-469B-9F32-388E2A842BD9.jpeg
    55.1 KB · Views: 3
  • E824A57B-3A4D-456F-A8CF-EFD1053D383A.jpeg
    E824A57B-3A4D-456F-A8CF-EFD1053D383A.jpeg
    75.7 KB · Views: 3
  • 64EC54CD-7393-4BC9-96E8-4A4AC6300CBC.jpeg
    64EC54CD-7393-4BC9-96E8-4A4AC6300CBC.jpeg
    131.1 KB · Views: 3
  • 3CAE71D6-3DEE-4182-8A47-18180EEDCBFE.jpeg
    3CAE71D6-3DEE-4182-8A47-18180EEDCBFE.jpeg
    150.5 KB · Views: 3
  • 36FC3AB3-6422-4891-BA50-6CB4DAA1E330.jpeg
    36FC3AB3-6422-4891-BA50-6CB4DAA1E330.jpeg
    55.3 KB · Views: 3
  • 743CBDB3-0B70-48D5-8A24-AECC43A399AA.jpeg
    743CBDB3-0B70-48D5-8A24-AECC43A399AA.jpeg
    32 KB · Views: 3
  • BC2F3C60-A13B-42EE-822B-F484CCA2AB6A.jpeg
    BC2F3C60-A13B-42EE-822B-F484CCA2AB6A.jpeg
    79.5 KB · Views: 3
  • 43B231FD-2F91-408A-857F-A7FBC6B4DABB.jpeg
    43B231FD-2F91-408A-857F-A7FBC6B4DABB.jpeg
    58 KB · Views: 3
  • 2C6FE169-7CC4-4857-B475-70B3C9825F69.jpeg
    2C6FE169-7CC4-4857-B475-70B3C9825F69.jpeg
    87.9 KB · Views: 3
Elimu ya bure hii hapa;-

Kuna vitu vinne ambavyo ni muhimu vikaeleweka wazi.
1. Covenant ( Agano )
2. Agreement ( Makubalino )
3. Contract ( Mkataba)
4. Authority ( Mamlaka )

Siku zote AGANO lazima liendane na MKATABA, na pia MAKUBALINO lazima yandane na MAMLAKA. Vitu hivi hukaa viwiliviwili kama mapacha vile au kama "ntu na nkewe!"

Sasa basi, unajua kwanini Watanzania wanapiga kelele sana kuhusu Bandari yao Sababu ni kwamba hawa DP World wameingia Makubaliano na Tanzania, na tena Tanzania ikajifunga kwa kuwapa Mamlaka makubwa sana katika Ardhi yake.

Eh eh eh Sheeiiiilllaaaaa.....el-morondo paranqwine!!!??

Note 1: DP WORLD haijafanya Mkataba wowote na Tanzania. Kilichofanyika ni Makubaliano tu.

Note 2: Hakuna kitu Kibaya katika maisha kama Makubalino, kwa sababu kama yakikeukwa, basi wajibu na majukumu huwa vinasambaratika na kusababisha uvunjifu wa Amani.

Nimeandika kizalendo kabisa nikiwa hapa Kijijini Chamwino Ikulu.
Migambo wanaruka na kukanyagana!! Huku supika anasema mkataba wazir anasema mkataba wanasheria wanasema mkataba but wachumia tumbo na wazee wa payroll za kusifia wanasema sio mkataba!! Nan wa kumuamini? Mtafuta posho kwa kusifia au hao ambao hawana njaa ndogndog?
 
Migambo wanaruka na kukanyagana!! Huku supika anasema mkataba wazir anasema mkataba wanasheria wanasema mkataba but wachumia tumbo na wazee wa payroll za kusifia wanasema sio mkataba!! Nan wa kumuamini? Mtafuta posho kwa kusifia au hao ambao hawana njaa ndogndog?
Kwani wewe hujui kwamba, siku hizi wasomi ndio wanaongoza kwà kupotosha ili kulinda nyazifa zao, vyeo na familia zao?

Mkataba ni kitu kidogo sana...ndio maana ni rahisi kuvunjika kirahisi sana. Lakini MAKUBALIANO ni kitu kingine Mzee Baba!

Ni kitu hatari sana zaidi ya Mkataba. So hao wasomi uchwara wanaamua kupotosha kwà kuyaita MAKUBALIANO Mkataba ili tuchukulie poa..., Aah si Mkataba tu...
 
Mimi kinachonisikitisha watu wanajadili kwa ujasiri kitu ambacho hawajakiona.

Wengi wanaosema mkataba hivi mkataba vile, hawajasoma hata sentensi moja kwenye huo mkataba. Niamini mimi Mkuu.
 
Back
Top Bottom