Elimu: DP WORLD haina Mkataba wowote Tanzania

Elimu: DP WORLD haina Mkataba wowote Tanzania

Achana na Mkataba yaani mambo kama haya hata kama yapo kwenye fikra tu (yaani unafikiri madudu) basi mwisho wa siku yasiwe reality..., No matter the name.....

"A rose by any other name would smell as sweet"

Hivyo basi unless otherwise useme yanayosikika kitaa au yaliyopo kwenye ile karatasi ni uzushi lakini kama ni ukweli hayastahili hata kuwa kwenye Toilet Paper..., Hata kwenye fikra za mtu mwenye Uzalendo....., let alone kuyatamka hadharani.

Acha mali ya Taifa yaani hata kashamba ka ukoo ka urithi unakoachiwa kuwatunzia watakaokuja huwezi kuingia kwenye (Whatever the Name) inayosambaa mitandaoni
Well said
 
Sawa ni makubaliano:-

Futeni huu ujinga sasa
Hivyo vifungu ndivyo hata Mama SAMIA alivishangaa.....akasema ..."Taifa letu linauliwa na wasomi wetu".

Nafikiri kwà hakika kabisa...huenda jamaa walikua initiated via misosi...vinywaji..zile pesa...na ndio wakaandika huo UTOPOLO
 
HATUPOI HATUBOI
Wenye Tanganyika yao
20230624_061555.jpg
 
Hivyo vifungu ndivyo hata Mama SAMIA alivishangaa.....akasema ..."Taifa letu linauliwa na wasomi wetu".

Nafikiri kwà hakika kabisa...huenda jamaa walikua initiated via misosi...vinywaji..zile pesa...na ndio wakaandika huo UTOPOLO
Kama alivishangaa mbona alisahini mkuu?
 
Kama alivishangaa mbona alisahini mkuu?
Nae pia alikua kwenye part ya hiyo initiation ( Nae si alikwenda kule ?) . Amekuja kutaharuki baada ya limbwata kuisha. Too late! Wino tayari ushamwagika!

Note: Idara ya Usalama wa Taifa seems siku hizi wamejaa vilaza huko!!! Akili yangu haitaki kabisa kuamini...au na wao wamechoka kufanya Kazi Siku hizi.
 
Hili sikupingi makubaliano hayo hayo ndo mnakuja kuandaa mkataba .

Sema uzuri makubaliano yanafikia mwisho baada ya pande zote mbili kuridhika.
 
Usalama wa Taifa fanyeni Kazi yenu kwà weledi. Mnaonekana mko corrupted!
 
Back
Top Bottom