Well said mkuu. Kihonda ina zaidi ya wanafunzi 1000 inapewa 580k jaribu kufikiri unaendeshaje shule kwa hali hiyo?? Mifano ipo mingi waalimu watusaidie fedha hizi sio siri jamani .Hivi watu wengine wanajibu tu bila kufikiri. Tunalisemea hili tupo kwenye field na tunazijua changamoto zilizopo. Mnajua bei ya box moja la chaki? Na kwa watoto 1200 unatumia box ngapi kwa siku. Na walimu watakabaki kufundisha remedial kwa slow learners watalipwa na hizi shs 309? Fikirini kwa mapana. Hakuna elimu bure hapo wazazi ni lazima kuchangia ili kuisadia serikali. Vinginevyo ni siasa tu katika masuala ya kitaalam. Hamuamini subirini watakavyofeli watoto kwa kurudi makwao saa nane ndio mtajua hasara za elimu Burr.
HII si kweli nilimsikia MAGUFULI mm mwenyewe akisema pesa wamepelekewa kila shule zaid ya 1b kwa 3months
akatoa na onyo "ole wake yeye ataetumia vibaya"
Elimu ya nchi hii itakuwa bora pale itakapotenganishwa na siasa.
Sera ndio inayoamua elimu iweje, mkiingiza siasa tu kwisha habari.Inatenganishwaje wakati Siasa ndiyo inayoamua Elimu iweje?
Ndugu wana jamvi,
Nimeshangaa sana badala ya kuona kiasi cha fedha ambacho moja ya shule ya msingi iliyoko mkoa wa Pwani imepewa kwa ajili ya elimu bure.Shule hii ina wanafunzi 1120 na imepewa 447000tsh. Hii ni kwamba kila mwanafunzi amepewa shilingi 399.
Najaribu kuangalia mahitaji ya shule ikiwemo kulipa walinzi, kununua chalk, kununua karatasi pamoja na vifaa vingine muhimu shuleni naona kuwa fedha hizi hazitoshi hata kidogo. Hazitoshi kuendesha shule hata kwa week mbili.
Naiona elimu ya Tanzania ikididimia na ubora ukishuka zaidi.
Duc in Altum[/QUOTE
Daah we jamaa muongoooo izo siasa zenu hadi mna chuma dhambi
Sera ndio inayoamua elimu iweje, mkiingiza siasa tu kwisha habari.
Mkuu Secondary zipo zaidi ya 4000 to date.
Duc in Altum
Leo simbachawene anaongea ITV kipima joto!!! SikilizaNiambie ukweli ni upi. Acha ushabik hakuna swala la chama hapa.
Duc in Altum
Wee ni mkurupukaji! Nina uhakika kuna vitu huvijui. Kwa akili zako unaona hiyo pesa uloweka hapo juu inawezekana?? NI LAZIMA UMEKURUPUKA.Ndugu wana jamvi,
Nimeshangaa sana badala ya kuona kiasi cha fedha ambacho moja ya shule ya msingi iliyoko mkoa wa Pwani imepewa kwa ajili ya elimu bure.Shule hii ina wanafunzi 1120 na imepewa 447000tsh. Hii ni kwamba kila mwanafunzi amepewa shilingi 399.
Najaribu kuangalia mahitaji ya shule ikiwemo kulipa walinzi, kununua chalk, kununua karatasi pamoja na vifaa vingine muhimu shuleni naona kuwa fedha hizi hazitoshi hata kidogo. Hazitoshi kuendesha shule hata kwa week mbili.
Naiona elimu ya Tanzania ikididimia na ubora ukishuka zaidi.
Duc in Altum
Watu mnakurupuka kweli, yaani mmekaa kitako Magu anakosea wapi muanze kuchonga, HIZO PESA NI ZA MWEZI, angalieni kitimoto usiku wa leo, Simbachawene ataongelea kuhusu hii wlimu bure, kaongea ITV habari na kusema hiyo ni pesa ya mwezi.Billion 18 ni sawa na milion 18,000.
kama shule za msingi zipo 10,000 tu, na za Sekondari 3000 tu hiyo pesa unaigawaje? mayb wawe wanaitoa kila mwezi.
Watu mnakurupuka kweli, yaani mmekaa kitako Magu anakosea wapi muanze kuchonga, HIZO PESA NI ZA MWEZI, angalieni kitimoto usiku wa leo, Simbachawene ataongelea kuhusu hii wlimu bure, kaongea ITV habari na kusema hiyo ni pesa ya mwezi.