Elimu bure ni ndoto za abunuasi

Vikao vya Harusi

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
512
140
Naomba mnikumbushe kesho juu ya kuiendeleza hii thread, ila kwa sasa ngoja nianze hivi, Lowassa ametoa ahadi ya elimu, well wengi wenu ni waalimu, na by nature mlilazimika kusomea ualimu sio kwa kupenda, ni kutokana na kwamba shahada ya elimu ilikuwa financed na bodi ya mikopo, sasa fikiria mtoto wa maskini huyu akiambiwa kuwa hata degree ya uhasibu pale mlimani ni bure unadhani ataendelea na ualimu wake huko MUCE......? Nitaendelea kesho
 
Huna hoja, kinachoamua nani asomee nini ni upendeleo wa mwanafunzi mwenyewe, mchepuo wake pomoja na ufaulu wake.

Ushaona mwanafunzi wa PCB au PCM mwenye one ya Tatu hadi saba yuko muce kwa kuwa ni bure??
 
Yaani kama kuna mtu anayejisahau na Dr.Slaa akiwemo kwamba watanzania hawajui lolote Kuhusu Richmond anajidanganya.Ndugu zangu Watanzania wa leo sio wale uliowaona jana wasiojua lolote ,hawa wa leo ni balaa kabisa wanajua wapi Richmond ilianzia na mpaka sasa mwenye Richmond yake ameshajulikana,Hivyo unayetaka Lowasa ashitakiwe unajifanya kuvaa tintedi eti humjui mwenye Richmond ww endeleza ngonjera zako SISI haturudi nyuma achaneni na hiyo kitu mtaongea sana mwisho mtapasuka midomo SISI haturudi nyuma LOWASA ndio habari ya mjini na inaitwa ALUTA CONTINUE.
 
We unaekataa kuwa elimu bure ni mpuuzi na unapuuzia mambo ambayo yakisimamiwa vzuri elimu inawezekana kabisa,mfano ukiondoa misamaha ya kodi kwa wawekezaji na mikataba mizuri ya gesi na madini kwa nini isiwezekane?
 
We unaekataa kuwa elimu bure ni mpuuzi na unapuuzia mambo ambayo yakisimamiwa vzuri elimu inawezekana kabisa,mfano ukiondoa misamaha ya kodi kwa wawekezaji na mikataba mizuri ya gesi na madini kwa nini isiwezekane?

Hajielewi huyo
 
Huyu jamaa inaonekana ana fikra ndogo sana tena ndogo kupita kiasi na zilizo mgando... hivi nikuulize labda ukisikia anasema elimu bure wew unaelewa vip? Inavoonekana hujui nini maana ya sera na jinsi inavyofanya kazi na haya mambo wala huyaelewi kabsa kwakuwa kufikiria kwako ndo kumekomea hapo kwamba haiwezekani eti kwa mfano/sababu uliyotoa wew..hivi wew hata unaelewa ni jinsi gan vyombo na tawala mbalimbali za serikali zinavyoendeshwa... hao unaosema wataondoka DUCE kuja mlimani kusoma uhasibu umeshafikiria kwa kina huko DUCE walifikaje. Au unadhani kila anaeenda kusoma medicine, uengineer,ualimu, uhasibu, na kwengineko wanajiamulia tu kwamba wanaenda kusoma huko. Kama ni hivo basi naomba nkushauri hivi kama wewe uko form 6 au mwanao mfano combination HKL afu akimaliza shule baada ya matokeo uende ukaombe form ya enrollment pale COET mlimani ili ukasome hyo engineering unayoitaka, au pale ardh unvsty ukasome urban economics, au nenda mzumbe unvst ukasome ICT. Wewe kwa fikra zako Ukisikia anasema elimu bure mpaka chuo kikuu unaelewa nin? Labda tuanzie hapo. Najua utafikiria kwamba hiyo huwa inaitwaga ni sera. Ila hujui sera maana yake ni nin. Zimeweza nchi ngap hiyo kitu tena na mengine mengi ya bure na ukiangalia nyingine ni nchi ambazo hata sisi tunazipita kwa resources tulizonazo. Swala la elimu bure mpaka chuo kikuu haliihitaji mjadala na tena limecheleweshwa lilitakiwa lianze kitambo sana sema hawa minyooo ccm walokuandikia huu uzi uje kupaste huku ndo wamefanya tusifike huko.
Swala hili linawezekana tena bila kupingwa provided that kuna means,plans na strategies za kulifikisha pale tunapotaka. Nahiyo ndo maana ya sera. Wala halihitaji kutumia nguvu za tembo kufikiri muda mwingi kama ulivofanya wew na kuja na conclusion ya kishamba sana. Swala ambalo hata mmachinga ambae hajaenda shule ila ni mwenye kupenda kujifunza mengi kutoka kwa watu kwa kusikia au kuona anaelewa kwamba hilo linawezekana sembuse wewe.
Kama wew rika lako ni kijana bas pole sana kwakuwa ulishalemazwa kifikra na ccm kama wale wazee wa tabora kwa kununuliwa katika kila general election.
Na unasafari ndefu sana ya kupoteza muda mwingi mno katika maisha yako ya kifikra na mpaka uje kujua what's going on in this country and what's wrong with this shit ccm ni pale upinzani utakaposhika hii nchi.
Hukuwa na haja ya kusema et kesho ukumbushwe kurudia uzi na atakaekukumbusha bas ni kilaza plus tena kuliko hata wew nadhan.
na inaonekana maisha yako ni mafupi saana kama sisimizi au nzi kwa fikra ulizonazo.
Kwasabu utakujafanya maamuzi hasi yatakayokucost kutokana na kiwango cha fikra ulichonacho.
kimsingi hukuwa na hoja yoyote kama alivosema bwana More Tiz nashukuru kwa kulitambua hilo.
Kitu kingine familia yako kama unayo au unaitarajia bas itajuta sana kupata kiongoz wa familia kama wew simply because of your brain limit capacity.

Nyie ndo malofa na wapumbavu alowasema mkapa japo wewe kwa fikra zako finyu sana isiyoweza kuchambua hata neno bure na ccm wenzio kwa fikra zenu mgando hamkumwelewa yule mzee mkapa alikuwa anamaanisha nini.
Mkahisi alikuwa anawatukana akina lowassa. kumbe lilikuwa ni tusi kwa watu kama wewe na ccm yenyewe. Kama ulikuwa hujui hilo ulijue.

Sina cha kukushauri na Sijui nkushaur nin kwasabu ushauri wangu utahitaji fikra hata ile ya kawaida ambayo wew huna kwasababu tu ulishaharibiwa na fikra za manjano/kijani.
siwez kukwambia kaa chini ufikirie upya hilo hutaliweza sababu unaijua wewe. Ila inasikitisha sana kuona mtu kama wewe mwenye fikra kama hizo na huwezi badilika kamwe kwakuwa laana ya wengi wanaoumia kwa maovu ya ccm na wale wawaungao mkono bado imewashika mpaka pale mtakapotembelea futi 6. Kwenda chini.
Kama ni umaskini utakufa nao, kama ujinga utabak nao milele ili viendelee kukutafuna.
Kiujumla hujielewi na hujitambui ndiko kunakopelekea kuwa na fikra fupi kias hicho.

Pole sana mkuu "vikao vya harusi"
Jina tu peke yake linaonesha kuwa wew si mzima kabsa, na yaweza kuwa ni grade one ya milembe!
 
Mleta mada,

Elimu bure Tanzania inawezekana. Kwanza uelewe kitu kimoja, elimu hii itatolewa kwa shule na kwa vyuo vya serikali tu. Hivyo basi, hii inafanya wale wanafunzi waliopata fursa na nafasi ya kusoma katika shule na vyuo hivyo vya serikali wafaidike na sera hiyo na sio kila mwanafunzi wa Tanzania kama ambavyo inatafsiriwa na baadhi ya watu.

Kingine cha muhimu katika hii sera ni kuhakikisha mazingira bora yanakuwepo ili watoto wetu waweze kupata elimu bora na sio bora elimu.
 
Huyu jamaa inaonekana ana fikra ndogo sana tena ndogo kupita kiasi na zilizo mgando... hivi nikuulize labda ukisikia anasema elimu bure wew unaelewa vip? Inavoonekana hujui nini maana ya sera na jinsi inavyofanya kazi na haya mambo wala huyaelewi kabsa kwakuwa kufikiria kwako ndo kumekomea hapo kwamba haiwezekani eti kwa mfano/sababu uliyotoa wew..hivi wew hata unaelewa ni jinsi gan vyombo na tawala mbalimbali za serikali zinavyoendeshwa... hao unaosema wataondoka DUCE kuja mlimani kusoma uhasibu umeshafikiria kwa kina huko DUCE walifikaje. Au unadhani kila anaeenda kusoma medicine, uengineer,ualimu, uhasibu, na kwengineko wanajiamulia tu kwamba wanaenda kusoma huko. Kama ni hivo basi naomba nkushauri hivi kama wewe uko form 6 au mwanao mfano combination HKL afu akimaliza shule baada ya matokeo uende ukaombe form ya enrollment pale COET mlimani ili ukasome hyo engineering unayoitaka, au pale ardh unvsty ukasome urban economics, au nenda mzumbe unvst ukasome ICT. Wewe kwa fikra zako Ukisikia anasema elimu bure mpaka chuo kikuu unaelewa nin? Labda tuanzie hapo. Najua utafikiria kwamba hiyo huwa inaitwaga ni sera. Ila hujui sera maana yake ni nin. Zimeweza nchi ngap hiyo kitu tena na mengine mengi ya bure na ukiangalia nyingine ni nchi ambazo hata sisi tunazipita kwa resources tulizonazo. Swala la elimu bure mpaka chuo kikuu haliihitaji mjadala na tena limecheleweshwa lilitakiwa lianze kitambo sana sema hawa minyooo ccm walokuandikia huu uzi uje kupaste huku ndo wamefanya tusifike huko.
Swala hili linawezekana tena bila kupingwa provided that kuna means,plans na strategies za kulifikisha pale tunapotaka. Nahiyo ndo maana ya sera. Wala halihitaji kutumia nguvu za tembo kufikiri muda mwingi kama ulivofanya wew na kuja na conclusion ya kishamba sana. Swala ambalo hata mmachinga ambae hajaenda shule ila ni mwenye kupenda kujifunza mengi kutoka kwa watu kwa kusikia au kuona anaelewa kwamba hilo linawezekana sembuse wewe.
Kama wew rika lako ni kijana bas pole sana kwakuwa ulishalemazwa kifikra na ccm kama wale wazee wa tabora kwa kununuliwa katika kila general election.
Na unasafari ndefu sana ya kupoteza muda mwingi mno katika maisha yako ya kifikra na mpaka uje kujua what's going on in this country and what's wrong with this shit ccm ni pale upinzani utakaposhika hii nchi.
Hukuwa na haja ya kusema et kesho ukumbushwe kurudia uzi na atakaekukumbusha bas ni kilaza plus tena kuliko hata wew nadhan.
na inaonekana maisha yako ni mafupi saana kama sisimizi au nzi kwa fikra ulizonazo.
Kwasabu utakujafanya maamuzi hasi yatakayokucost kutokana na kiwango cha fikra ulichonacho.
kimsingi hukuwa na hoja yoyote kama alivosema bwana More Tiz nashukuru kwa kulitambua hilo.
Kitu kingine familia yako kama unayo au unaitarajia bas itajuta sana kupata kiongoz wa familia kama wew simply because of your brain limit capacity.

Nyie ndo malofa na wapumbavu alowasema mkapa japo wewe kwa fikra zako finyu sana isiyoweza kuchambua hata neno bure na ccm wenzio kwa fikra zenu mgando hamkumwelewa yule mzee mkapa alikuwa anamaanisha nini.
Mkahisi alikuwa anawatukana akina lowassa. kumbe lilikuwa ni tusi kwa watu kama wewe na ccm yenyewe. Kama ulikuwa hujui hilo ulijue.

Sina cha kukushauri na Sijui nkushaur nin kwasabu ushauri wangu utahitaji fikra hata ile ya kawaida ambayo wew huna kwasababu tu ulishaharibiwa na fikra za manjano/kijani.
siwez kukwambia kaa chini ufikirie upya hilo hutaliweza sababu unaijua wewe. Ila inasikitisha sana kuona mtu kama wewe mwenye fikra kama hizo na huwezi badilika kamwe kwakuwa laana ya wengi wanaoumia kwa maovu ya ccm na wale wawaungao mkono bado imewashika mpaka pale mtakapotembelea futi 6. Kwenda chini.
Kama ni umaskini utakufa nao, kama ujinga utabak nao milele ili viendelee kukutafuna.
Kiujumla hujielewi na hujitambui ndiko kunakopelekea kuwa na fikra fupi kias hicho.

Pole sana mkuu "vikao vya harusi"
Jina tu peke yake linaonesha kuwa wew si mzima kabsa, na yaweza kuwa ni grade one ya milembe!


Leo ngoja niwasaidie jamaa zangu wa CCM ambao wengi wao hawajui Hesabu. Tangu Mgombea Urais wa UKAWA Mhe. Edward Lowassa atangaze Elimu bure, kuna watu wamekuwa wakiona huo kama muujiza.

Kwa kifupi zipo njia nyingi sana zinazoweza kufanya Elimu kuwa bure kuanzia Shule ya msingi hadi Chuo Kikuu. Leo ngoja niongelee 'alternative' moja.

Kwa mujibu wa TAMISEMI Tanzania ina jumla ya shule za msingi 16,343 zenye wanafunzi 8.3 mil. Kwa upande wa sekondari shule zimeongezeka kutoka 531 mwaka 2005 hadi 4,576 mwaka 2014. Idadi ya wanafunzi nayo imeongezeka kutoka 524,325 mwaka 2005 hadi 1,804,056 mwaka huu.

Kwa upande wa elimu ya juu, idadi ya vyuo imeongezeka kutoka 26 hadi 54 kati ya mwaka 2005 hadi mwaka 2014 na kufanya idadi ya wanafunzi wa vyuo vikuu iongezeke kutoka wanafunzi 40,719 mwaka 2005 hadi wanafunzi 200,986 mwaka huu.

Kwa mujibu wa Hotuba ya bajeti ya wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi ya mwaka 2014/2015, wanafunzi wa shule za msingi wanakadiriwa kugharamia kiasi cha Sh.10,000/= hadi 15,000/= kwa mwaka. Hii ina maana kuwa wanafunzi wote wa shule za msingi Tanzania wanahitaji Bilioni 80 waweze kusoma BURE.

Shule za Sekondari za Serikali zinakadiriwa kuwa 2,446 zikiwa na jumla ya wanafunzi 1,004,071. Kati yao wanafunzi 185,652 ni wa Shule za Kulala (Boarding), na wanafunzi 818,419 ni wa shule za kutwa (Day).

Wanafunzi wa Shule za kutwa wanalipa ada TZS 20,000 kwa mwaka. So ukichukua 20,000 × 818,000 utapata Bilioni 16.3. Wanafunzi wa shule za Bweni wanalipa ada TZS 70,000/= kwa mwaka. So ukichukua 70,000 × 185,652 utapata Bilioni 11.2.

Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya juu wa vyuo vya Serikal na vya binafsi wapo 200,986. Kati yao wanafunzi 162,987 wanasoma Course za 'Social Science, Law, Humanities, Education etc' ambao ada zao hazizidi Mil.2 kwa mwaka. So chukua 162,989 × 2000,000/= utapata Bilioni 325.

Wanafunzi 37,997 wanasoma course za "Science" kama Engineering, Udaktari etc na ada zao ni zaidi ya Mil.3 kwa mwaka. So hawa watahitaji Bil 113.5 kulipa ada ya mwaka mzima.

Fedha ya kujikimu pamoja na chakula (Meals & Accomodation) inayotolewa kwa sasa ni TZS 7,000 kwa siku kwa mwanafunzi mmoja. Hivyo basi mwanafunzi mmoja anapata Jumla ya Shilingi 1,680,000/= kwa mwaka. Hii ina maana kuwa wanafunzi wote wa vyuo vya elimu ya juu ambao ni 200,986 wanahitaji Bil 337.

Fedha ya Utafiti (Research), Mafunzo kwa njia ya vitendo (Field) na vitabu (Stationeries) hutolewa jumla ya Shilingi 735,000/= kwa mwaka ambayo hugawanywa kulingana na asilimia ya mkopo ya mwanafunzi. Hivyo basi wanafunzi wote wanahitaji Bil 147 kwa mwaka.

Ukijumlisha gharama zote hapo juu utapata jumla ya Shilingi Bilioni 934 tu. Kwa lugha rahisi ni kuwa ili kila mwanafunzi nchini asome bure kuanzia Elimu ya msingi, sekondari na akifika Chuo Kikuu alipiwe gharama zote bure kwa asilimia 100%, serikali inahitaji kutoa Shilingi Bilioni 934 tu kila mwaka.

Swali, Je hizi Bilioni 934 zinapatikanaje?

Ukisoma hotuba ya Bajeti ya wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2014 utagundua kuwa Mlima Kilimanjaro peke yake unachangia karibu Bil.800 kwenye pato la Taifa (Gross National Income of $350 Milion).

Kwa lugha Rahisi ni kuwa tunahitaji Mlima Kilimanjaro mmoja tu ili watoto wetu wasome bure kuanzia shule ya msingi hadi Chuo Kikuu. Yani tukiamua mapato yote ya Mlima Kilimanjaro tuyapeleke kwenye sekta ya Elimu bila kuchakachua, tutakua na uhakika wa kusoma bure kuanzia shule ya msingi hadi Chuo kikuu. Je hatuwezi??

Hapo hatujagusa Mbuga za wanyama, hatujagusa Bandari, Madini, Gesi, Mazao ya misitu, Uvuvi, Kilimo, Viwanda, etc. Tumegusa mlima Kilimanjaro peke yake. Kama CCM wanaona hawawezi wakae pembeni wanaoweza wafanye.!
 
Leo ngoja niwasaidie jamaa zangu wa CCM ambao wengi wao hawajui Hesabu. Tangu Mgombea Urais wa UKAWA Mhe. Edward Lowassa atangaze Elimu bure, kuna watu wamekuwa wakiona huo kama muujiza.

Kwa kifupi zipo njia nyingi sana zinazoweza kufanya Elimu kuwa bure kuanzia Shule ya msingi hadi Chuo Kikuu. Leo ngoja niongelee 'alternative' moja.

Kwa mujibu wa TAMISEMI Tanzania ina jumla ya shule za msingi 16,343 zenye wanafunzi 8.3 mil. Kwa upande wa sekondari shule zimeongezeka kutoka 531 mwaka 2005 hadi 4,576 mwaka 2014. Idadi ya wanafunzi nayo imeongezeka kutoka 524,325 mwaka 2005 hadi 1,804,056 mwaka huu.

Kwa upande wa elimu ya juu, idadi ya vyuo imeongezeka kutoka 26 hadi 54 kati ya mwaka 2005 hadi mwaka 2014 na kufanya idadi ya wanafunzi wa vyuo vikuu iongezeke kutoka wanafunzi 40,719 mwaka 2005 hadi wanafunzi 200,986 mwaka huu.

Kwa mujibu wa Hotuba ya bajeti ya wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi ya mwaka 2014/2015, wanafunzi wa shule za msingi wanakadiriwa kugharamia kiasi cha Sh.10,000/= hadi 15,000/= kwa mwaka. Hii ina maana kuwa wanafunzi wote wa shule za msingi Tanzania wanahitaji Bilioni 80 waweze kusoma BURE.

Shule za Sekondari za Serikali zinakadiriwa kuwa 2,446 zikiwa na jumla ya wanafunzi 1,004,071. Kati yao wanafunzi 185,652 ni wa Shule za Kulala (Boarding), na wanafunzi 818,419 ni wa shule za kutwa (Day).

Wanafunzi wa Shule za kutwa wanalipa ada TZS 20,000 kwa mwaka. So ukichukua 20,000 × 818,000 utapata Bilioni 16.3. Wanafunzi wa shule za Bweni wanalipa ada TZS 70,000/= kwa mwaka. So ukichukua 70,000 × 185,652 utapata Bilioni 11.2.

Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya juu wa vyuo vya Serikal na vya binafsi wapo 200,986. Kati yao wanafunzi 162,987 wanasoma Course za 'Social Science, Law, Humanities, Education etc' ambao ada zao hazizidi Mil.2 kwa mwaka. So chukua 162,989 × 2000,000/= utapata Bilioni 325.

Wanafunzi 37,997 wanasoma course za "Science" kama Engineering, Udaktari etc na ada zao ni zaidi ya Mil.3 kwa mwaka. So hawa watahitaji Bil 113.5 kulipa ada ya mwaka mzima.

Fedha ya kujikimu pamoja na chakula (Meals & Accomodation) inayotolewa kwa sasa ni TZS 7,000 kwa siku kwa mwanafunzi mmoja. Hivyo basi mwanafunzi mmoja anapata Jumla ya Shilingi 1,680,000/= kwa mwaka. Hii ina maana kuwa wanafunzi wote wa vyuo vya elimu ya juu ambao ni 200,986 wanahitaji Bil 337.

Fedha ya Utafiti (Research), Mafunzo kwa njia ya vitendo (Field) na vitabu (Stationeries) hutolewa jumla ya Shilingi 735,000/= kwa mwaka ambayo hugawanywa kulingana na asilimia ya mkopo ya mwanafunzi. Hivyo basi wanafunzi wote wanahitaji Bil 147 kwa mwaka.

Ukijumlisha gharama zote hapo juu utapata jumla ya Shilingi Bilioni 934 tu. Kwa lugha rahisi ni kuwa ili kila mwanafunzi nchini asome bure kuanzia Elimu ya msingi, sekondari na akifika Chuo Kikuu alipiwe gharama zote bure kwa asilimia 100%, serikali inahitaji kutoa Shilingi Bilioni 934 tu kila mwaka.

Swali, Je hizi Bilioni 934 zinapatikanaje?

Ukisoma hotuba ya Bajeti ya wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2014 utagundua kuwa Mlima Kilimanjaro peke yake unachangia karibu Bil.800 kwenye pato la Taifa (Gross National Income of $350 Milion).

Kwa lugha Rahisi ni kuwa tunahitaji Mlima Kilimanjaro mmoja tu ili watoto wetu wasome bure kuanzia shule ya msingi hadi Chuo Kikuu. Yani tukiamua mapato yote ya Mlima Kilimanjaro tuyapeleke kwenye sekta ya Elimu bila kuchakachua, tutakua na uhakika wa kusoma bure kuanzia shule ya msingi hadi Chuo kikuu. Je hatuwezi??

Hapo hatujagusa Mbuga za wanyama, hatujagusa Bandari, Madini, Gesi, Mazao ya misitu, Uvuvi, Kilimo, Viwanda, etc. Tumegusa mlima Kilimanjaro peke yake. Kama CCM wanaona hawawezi wakae pembeni wanaoweza wafanye.!

Kwan ccm hawaelew hilo...wanaelewa sana na inawauma kuona kwanin hao wakuu wao wasitekeleze hilo...kama magufuli anakwambia elimu ya bure mpaka form four manake ni nin...
kwanza maana yake ni kwamba hapo awali hakukuwa na bure form 4 so wanaiweka sasa ili angalau kujaribu kurudisha kura zilizoporomoka tangu aingie J.K...kwahili siwapongezi kwa kuwa wamekosa mbinu mathubuti za kuwateka wananchi...sasa ona hapo ukilinganisha sera hyo hyo ya elimu kwa pande zote mbili zinazogombea utaona kuwa lowassa amewashika vibaya mno...
Maana ya pili ni kwamba kwanini wasingeweka elimu bure mpaka chuo kikuu...ahaa t's just very simple, ni hivi ccm bado iko katika system ileile ambayo imeuzoea na si mwingine...ni upi huo, ni ule wa ulaji...kwahyo kukomea elimu bure mwsho form 4 maana yake ni kuwa wanajitahidi kutopunguza mianya ya wao kupiga deal na kula pesa kilaini...ni simple tu yan ni kama vile ulivofafanua hapo kuwa mlima kilimanjaro tu pekeake waweza kusomesha bure mpaka chuo, tukichukulia kwa hesabu hizohizo kwa wao na bure yao mwsho form 4 maana yake hapo kuna fungu linabaki ambalo lingesomesha bure mpaka form6 na chuo lakini wameshaliandaa watakula wao....
Yan hiv vitu ni simple sana sema tu watu wanatofautiana kifikra katika kuchambua na kuelewa maana yake nini...
Nmekuja gundua kuwa elimu kama hizi zinahitajikasana kwa wale ambao bado wameegemea ccm ili kuwafumbua macho na kufanya maamuz ya busara.
 
Mleta mada

Wewe ni mzigo mkubwa, watu kama nyie mna fikra duni, hamjitambui na mnahitaji mbadilike.

Kwa raslimali Tanzania tulizonazo ambazo zinatumiwa hovyo, zinaibiwa, hazilipiwi kodi zinavyotakiwa, zinavyofisadiwa zikisimamiwa vzr kupata kila kitu bure inawezekana.

Tanzania sio maskini kbs, ccm ndio wametufanya maskini elimu bure inawezekana, afya bure inawezekana.
 
mwaka 2000 chadema walikuj na elimu bure mpka 4m4 ni hawa ccm walipinga vyakutosha kuhusu hili, mwaka huu wao hili limekuw ndio linawezkntuache siasa za kijinga kila kitu kinawezkn


kingne kwa wanafunz wachuo, serikali inawadai wanafunz zaidi ya trillion 26, na haina miundo mbinu ya kuzirecover, mfno kwa private sector, private employees, utagundua serikali inasomwsha bure, ila inashindwa kuadmit
 
Huna hoja, kinachoamua nani asomee nini ni upendeleo wa mwanafunzi mwenyewe, mchepuo wake pomoja na ufaulu wake.

Ushaona mwanafunzi wa PCB au PCM mwenye one ya Tatu hadi saba yuko muce kwa kuwa ni bure??

Kwa watu wa PCB wao ndo bure kabisa pale Muhmbıli na kıdogo field ya medıcal inalipa kuliko education.Kwa taarıfa yako wengı wa wanaofundisha tuition za hesabu kwenye vibanda umiza hapa mjini nı hao wa PCM na pt3 zao wakiwa mashahada yao ya Engineering na wengne Computer!
 
We unaekataa kuwa elimu bure ni mpuuzi na unapuuzia mambo ambayo yakisimamiwa vzuri elimu inawezekana kabisa,mfano ukiondoa misamaha ya kodi kwa wawekezaji na mikataba mizuri ya gesi na madini kwa nini isiwezekane?

Hauwezi kufuta misamaha yote ya kodi mkubwa(sipo kwenye ishu ya elımu).Hiyo misamaha ipo kimkakatı na si kweli kwamba walıoweka huo utaratibu si wajinga kıası tunachowaza.Cha msingı ınatakıwa kuratıbiwa na kusimamiwa vizuri.Dangote naye anao msamaha lakın je uwekezaji wake una tija kıası ganı kama ataweza kusababisha beı ya cement kushuka toka 13000 mpaka 6000?Vp akıja mwekezajı wa kujenga vıwanda vya nguo na magari, tusimpe ka holıday kumshawishı?
 
Hajielewi huyo

Try to distinguish real and Ideal.Elimu bure ıtawezekana pale tu utakapokuwa umeweza kuwekeza vya kutosha kıası cha kukuwezesha kupata mapato ya kuendeleza elimu.Bajeti yako inajisımamıa kwa 52%.Hauna barabara,Hauna nishatı ya uhakıka,mıundo mbinu ya elimu mıbovu,afya bado n.k then uote elimu bure hadi universıty??Kumbuka hayo yalıpgwa marufuku na IMF&WB.Tunaweza fanya kwa kada chache km engineerıng,Medical na Education na sıo watu wa sanaa(socıal scıences).Jenga shule bora,jenga maabara,jaza vıtabu na walımu.
 
Naomba mnikumbushe kesho juu ya kuiendeleza hii thread, ila kwa sasa ngoja nianze hivi, Lowassa ametoa ahadi ya elimu, well wengi wenu ni waalimu, na by nature mlilazimika kusomea ualimu sio kwa kupenda, ni kutokana na kwamba shahada ya elimu ilikuwa financed na bodi ya mikopo, sasa fikiria mtoto wa maskini huyu akiambiwa kuwa hata degree ya uhasibu pale mlimani ni bure unadhani ataendelea na ualimu wake huko MUCE......? Nitaendelea kesho

Kiongozi huku umekuja kufanya nini? Wewe ni mtu wa vikao vya arusi huku hapakufai! TAAHIRA!
 
haiwezekani elimu bure mpaka chuo kikuu kwenye taifa maskini kama letu ambapo afya ni ziro kila mara kipindupindu achilia mbali malaria,huduma za afya mbovu,shule mbovu hakuna huduma na vifaa muhimu mashuleni,miundombinu ziro,mishahara mibovu eti leo ukatoe elimu bure?tusidanganyane hapa
 
haiwezekani elimu bure mpaka chuo kikuu kwenye taifa maskini kama letu ambapo afya ni ziro kila mara kipindupindu achilia mbali malaria,huduma za afya mbovu,shule mbovu hakuna huduma na vifaa muhimu mashuleni,miundombinu ziro,mishahara mibovu eti leo ukatoe elimu bure?tusidanganyane hapa

inawezekana hata wew hapo ulipo huamini kama utauaga umaskini kwa kuwa unaona ni muujiza. Pole sana aisee
 
Naomba mnikumbushe kesho juu ya kuiendeleza hii thread, ila kwa sasa ngoja nianze hivi, Lowassa ametoa ahadi ya elimu, well wengi wenu ni waalimu, na by nature mlilazimika kusomea ualimu sio kwa kupenda, ni kutokana na kwamba shahada ya elimu ilikuwa financed na bodi ya mikopo, sasa fikiria mtoto wa maskini huyu akiambiwa kuwa hata degree ya uhasibu pale mlimani ni bure unadhani ataendelea na ualimu wake huko MUCE......? Nitaendelea kesho

Fikiria nje ya kiboksi!
 
Back
Top Bottom