Elimu bure ni ndoto za abunuasi

Elimu bure ni ndoto za abunuasi

Naomba mnikumbushe kesho juu ya kuiendeleza hii thread, ila kwa sasa ngoja nianze hivi, Lowassa ametoa ahadi ya elimu, well wengi wenu ni waalimu, na by nature mlilazimika kusomea ualimu sio kwa kupenda, ni kutokana na kwamba shahada ya elimu ilikuwa financed na bodi ya mikopo, sasa fikiria mtoto wa maskini huyu akiambiwa kuwa hata degree ya uhasibu pale mlimani ni bure unadhani ataendelea na ualimu wake huko MUCE......? Nitaendelea kesho

Upo kidato cha ngapi?
 
Naomba mnikumbushe kesho juu ya kuiendeleza hii thread, ila kwa sasa ngoja nianze hivi, Lowassa ametoa ahadi ya elimu, well wengi wenu ni waalimu, na by nature mlilazimika kusomea ualimu sio kwa kupenda, ni kutokana na kwamba shahada ya elimu ilikuwa financed na bodi ya mikopo, sasa fikiria mtoto wa maskini huyu akiambiwa kuwa hata degree ya uhasibu pale mlimani ni bure unadhani ataendelea na ualimu wake huko MUCE......? Nitaendelea kesho


Ukiaminishwa kwamba ww ni maskini nalo ni tatizo au ugonjwa mwingine maana hata watu wakigawana bilion 70 kwa siku ww utasema ni uongo kwa sababu una ugonjwa kichwani.
 
inawezekana hata wew hapo ulipo huamini kama utauaga umaskini kwa kuwa unaona ni muujiza. Pole sana aisee
Haiwezekani kwa sasa,maana kuna sector zingine pia ni mbovu kabisa,labda udeal na Elimu peke yake mengine uyaache yalivyo
 
Haiwezekani kwa sasa,maana kuna sector zingine pia ni mbovu kabisa,labda udeal na Elimu peke yake mengine uyaache yalivyo

Hiyo Point yako ya kwamba labda udeal na elimu peke yake mengine uyaache eti kwasababu kuna sector nyingine ni mbovu kabisa sio ya msingi hata kidogo na wala haina mashiko kabisa, nahisi umesahau kwamba tuna resource za kutosha kufinance mambo yote hayo, tatizo ni system tu. We mwenyewe unafahamu hilo. Hata huko unakosema ni kubovu kunatakiwa sera mathubuti za kuhakikisha kuwa kunamaendeleo provided kwamba tuna resource za kutosha, mikakati na usimamizi na utekelezaji katika muda muafaka. mbona kwa Gadafi kila kitu kilikuwa ni bure, unataka kusema kuwa alianza na kimoja baada ya kingine, kama ni hivo basi kila mgombea katika kila uchaguzi mkuu angekuwa ananadi sera moja tu! kitu ambacho hakipo na hakitakaa kitokee katika ulimwengu huu wa siasa.
 
haiwezekani elimu bure mpaka chuo kikuu kwenye taifa maskini kama letu ambapo afya ni ziro kila mara kipindupindu achilia mbali malaria,huduma za afya mbovu,shule mbovu hakuna huduma na vifaa muhimu mashuleni,miundombinu ziro,mishahara mibovu eti leo ukatoe elimu bure?tusidanganyane hapa

Halafu nikwambie kuwa Hili sio taifa maskini, ni taifa tajiri tena yawezekana kuliko hata nchi yoyote kusini mwa jangwa la sahara! Hapo Ulitakiwa kusema kwamba mifumo mibovu ya chama tawala ndio inayofanya hii nchi itafsiriwe katika lugha hiyo.
 
Naomba mnikumbushe kesho juu ya kuiendeleza hii thread, ila kwa sasa ngoja nianze hivi, Lowassa ametoa ahadi ya elimu, well wengi wenu ni waalimu, na by nature mlilazimika kusomea ualimu sio kwa kupenda, ni kutokana na kwamba shahada ya elimu ilikuwa financed na bodi ya mikopo, sasa fikiria mtoto wa maskini huyu akiambiwa kuwa hata degree ya uhasibu pale mlimani ni bure unadhani ataendelea na ualimu wake huko MUCE......? Nitaendelea kesho

Sijui uko chama gani, ila Yaonekana huna akili timamu!!! Wewe si ukawa kweli? Cos ndo wenye. Fikra finyu kama yako!
 
Hiyo Point yako ya kwamba labda udeal na elimu peke yake mengine uyaache eti kwasababu kuna sector nyingine ni mbovu kabisa sio ya msingi hata kidogo na wala haina mashiko kabisa, nahisi umesahau kwamba tuna resource za kutosha kufinance mambo yote hayo, tatizo ni system tu. We mwenyewe unafahamu hilo. Hata huko unakosema ni kubovu kunatakiwa sera mathubuti za kuhakikisha kuwa kunamaendeleo provided kwamba tuna resource za kutosha, mikakati na usimamizi na utekelezaji katika muda muafaka. mbona kwa Gadafi kila kitu kilikuwa ni bure, unataka kusema kuwa alianza na kimoja baada ya kingine, kama ni hivo basi kila mgombea katika kila uchaguzi mkuu angekuwa ananadi sera moja tu! kitu ambacho hakipo na hakitakaa kitokee katika ulimwengu huu wa siasa.
Aisee ni kweli resources zipo,ila kwa umaskini ulivyo hata zikiwa exploited zote hatuwezi kuamka tu na kuanzisha elimu bure mpaka chuo kikuu,kwa umaskini ulivyo hali ni mbaya lazima vitu viende step by step regardless uwepo wa resources,my dear actions are louder than speeches
 
Halafu nikwambie kuwa Hili sio taifa maskini, ni taifa tajiri tena yawezekana kuliko hata nchi yoyote kusini mwa jangwa la sahara! Hapo Ulitakiwa kusema kwamba mifumo mibovu ya chama tawala ndio inayofanya hii nchi itafsiriwe katika lugha hiyo.
Aisee wewe kweli hauijui Africa,yaani Tanzania tajiri kuliko ncho yeyote ya Africa kusini mwa sahara,My dear unaijua Congo Zaire,Congo brazaville,unaijua Gabon,Angola,Nigeria nchi zilizobarikiwa mafuta.Yes Tanzania tuna Madini ila hatuwafikii Congo EX Zaire
Ni kweli ufisadi wa kina Lowasa et al ndo umetufikisha hapa,Magufuli mtendaji akikamata dola lazima abadilishe taswira ya nchi yetu
 
Aisee wewe kweli hauijui Africa,yaani Tanzania tajiri kuliko ncho yeyote ya Africa kusini mwa sahara,My dear unaijua Congo Zaire,Congo brazaville,unaijua Gabon,Angola,Nigeria nchi zilizobarikiwa mafuta.Yes Tanzania tuna Madini ila hatuwafikii Congo EX Zaire
Ni kweli ufisadi wa kina Lowasa et al ndo umetufikisha hapa,Magufuli mtendaji akikamata dola lazima abadilishe taswira ya nchi yetu

nlochosema ni kwamba it's probably the richest country kwa resources tulizonazo na zingine ambazo hazijawa published officially, wala sikuconclude direct...hayo mafuta hata Tz yapo, kwan unadhani kwanin malawi wanagombania mpaka, au kwanin zanzibar wanataka kujitenga ukiondoa hizo sababu wanazodai za mambo ya muungano. There must be somthin behind. nahis utakuwa umenielewa hapo.
 
nlochosema ni kwamba it's probably the richest country kwa resources tulizonazo na zingine ambazo hazijawa published officially, wala sikuconclude direct...hayo mafuta hata Tz yapo, kwan unadhani kwanin malawi wanagombania mpaka, au kwanin zanzibar wanataka kujitenga ukiondoa hizo sababu wanazodai za mambo ya muungano. There must be somthin behind. nahis utakuwa umenielewa hapo.
Tanzania hakuna mafuta,hata kama yapo hayatafikia ya Angola,Congo brazaville,Gabon na Nigeria.
 
Malisa Godlisten 23:08 7th September 2015
Leo ngoja niwasaidie jamaa zangu wa CCM
ambao wengi wao hawajui Hesabu. Tangu
Mgombea Urais wa UKAWA Mhe. Edward
Lowassa atangaze Elimu bure, kuna watu
wamekuwa wakiona huo kama muujiza.
Kwa kifupi zipo njia nyingi sana zinazoweza
kufanya Elimu kuwa bure kuanzia Shule ya
msingi hadi Chuo Kikuu. Leo ngoja niongelee
'alternative' moja.
Kwa mujibu wa TAMISEMI Tanzania ina jumla ya
shule za msingi 16,343 zenye wanafunzi 8.3 mil.
Kwa upande wa sekondari shule zimeongezeka
kutoka 531 mwaka 2005 hadi 4,576 mwaka 2014.
Idadi ya wanafunzi nayo imeongezeka kutoka
524,325 mwaka 2005 hadi 1,804,056 mwaka huu.
Kwa upande wa elimu ya juu, idadi ya vyuo
imeongezeka kutoka 26 hadi 54 kati ya mwaka
2005 hadi mwaka 2014 na kufanya idadi ya
wanafunzi wa vyuo vikuu iongezeke kutoka
wanafunzi 40,719 mwaka 2005 hadi wanafunzi
200,986 mwaka huu.
Kwa mujibu wa Hotuba ya bajeti ya wizara ya
Elimu na mafunzo ya ufundi ya mwaka
2014/2015, wanafunzi wa shule za msingi
wanakadiriwa kugharamia kiasi cha Sh.10,000/=
hadi 15,000/= kwa mwaka. Hii ina maana kuwa
wanafunzi wote wa shule za msingi Tanzania
wanahitaji Bilioni 80 waweze kusoma BURE.
Shule za Sekondari za Serikali zinakadiriwa kuwa
2,446 zikiwa na jumla ya wanafunzi 1,004,071.
Kati yao wanafunzi 185,652 ni wa Shule za
Kulala (Boarding), na wanafunzi 818,419 ni wa
shule za kutwa (Day).
Wanafunzi wa Shule za kutwa wanalipa ada TZS
20,000 kwa mwaka. So ukichukua 20,000 ×
818,000 utapata Bilioni 16.3. Wanafunzi wa shule
za Bweni wanalipa ada TZS 70,000/= kwa
mwaka. So ukichukua 70,000 × 185,652 utapata
Bilioni 11.2.
Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya juu wa vyuo
vya Serikal na vya binafsi wapo 200,986. Kati yao
wanafunzi 162,987 wanasoma Course za 'Social
Science, Law, Humanities, Education etc' ambao
ada zao hazizidi Mil.2 kwa mwaka. So chukua
162,989 × 2000,000/= utapata Bilioni 325.
Wanafunzi 37,997 wanasoma course za
"Science" kama Engineering, Udaktari etc na ada
zao ni zaidi ya Mil.3 kwa mwaka. So hawa
watahitaji Bil 113.5 kulipa ada ya mwaka mzima.
Fedha ya kujikimu pamoja na chakula (Meals &
Accomodation) inayotolewa kwa sasa ni TZS
7,000 kwa siku kwa mwanafunzi mmoja. Hivyo
basi mwanafunzi mmoja anapata Jumla ya
Shilingi 1,680,000/= kwa mwaka. Hii ina maana
kuwa wanafunzi wote wa vyuo vya elimu ya juu
ambao ni 200,986 wanahitaji Bil 337.
Fedha ya Utafiti (Research), Mafunzo kwa njia ya
vitendo (Field) na vitabu (Stationeries) hutolewa
jumla ya Shilingi 735,000/= kwa mwaka ambayo
hugawanywa kulingana na asilimia ya mkopo ya
mwanafunzi. Hivyo basi wanafunzi wote
wanahitaji Bil 147 kwa mwaka.
Ukijumlisha gharama zote hapo juu utapata jumla
ya Shilingi Bilioni 934 tu. Kwa lugha rahisi ni
kuwa ili kila mwanafunzi nchini asome bure
kuanzia Elimu ya msingi, sekondari na akifika
Chuo Kikuu alipiwe gharama zote bure kwa
asilimia 100%, serikali inahitaji kutoa Shilingi
Bilioni 934 tu kila mwaka.
Swali, Je hizi Bilioni 934 zinapatikanaje?
Ukisoma hotuba ya Bajeti ya wizara ya Maliasili
na Utalii kwa mwaka 2014 utagundua kuwa
Mlima Kilimanjaro peke yake unachangia karibu
Bil.800 kwenye pato la Taifa (Gross National
Income of $350 Milion).
Kwa lugha Rahisi ni kuwa tunahitaji Mlima
Kilimanjaro mmoja tu ili watoto wetu wasome
bure kuanzia shule ya msingi hadi Chuo Kikuu.
Yani tukiamua mapato yote ya Mlima Kilimanjaro
tuyapeleke kwenye sekta ya Elimu bila
kuchakachua, tutakua na uhakika wa kusoma
bure kuanzia shule ya msingi hadi Chuo kikuu. Je
hatuwezi??
Hapo hatujagusa Mbuga za wanyama, hatujagusa
Bandari, Madini, Gesi, Mazao ya misitu, Uvuvi,
Kilimo, Viwanda, etc. Tumegusa mlima
Kilimanjaro peke yake. Kama CCM wanaona
hawawezi wakae pembeni wanaoweza wafanye.!
 
Aisee ni kweli resources zipo,ila kwa umaskini ulivyo hata zikiwa exploited zote hatuwezi kuamka tu na kuanzisha elimu bure mpaka chuo kikuu,kwa umaskini ulivyo hali ni mbaya lazima vitu viende step by step regardless uwepo wa resources,my dear actions are louder than speeches

Labda naomba nkuulize swali moja tu, unadhani kwanini shilingi yetu imeporomoka thamani kwa kasi hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi? Kuna sababu nyingi za kiuchumi na siasa. Naomba unitajie yoyote moja tu! ili nijue kwama nabishana na mtu ambae ana uelewa mkubwa wa mambo ila yupo indirect( mtu wa kupenda ligi)
 
Tanzania hakuna mafuta,hata kama yapo hayatafikia ya Angola,Congo brazaville,Gabon na Nigeria.

Yawezekana yapo mengi tu, sema labda kama tunaogopa kuona tutaexperience yale yanayotokea sudan, libya, nigeria na kwingineko ambapo kuna machafuko kutokana na vuguvugu/uchochez wa hapa na pale kutoka mataifa ya magharibi na kwengineko huku wao wakiiba rasilimali hizo na kupeleka kwao!
 
Yawezekana yapo mengi tu, sema labda kama tunaogopa kuona tutaexperience yale yanayotokea sudan, libya, nigeria na kwingineko ambapo kuna machafuko kutokana na vuguvugu/uchochez wa hapa na pale kutoka mataifa ya magharibi na kwengineko huku wao wakiiba rasilimali hizo na kupeleka kwao!
Mark my words,Tanzania hakuna reserves za kutisha,ndo hizo tunategemea bahari ya hindi huko karibia na Zenj au Lake Tanganyika ambapo utafiti bado unafanyika.
 
Labda naomba nkuulize swali moja tu, unadhani kwanini shilingi yetu imeporomoka thamani kwa kasi hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi? Kuna sababu nyingi za kiuchumi na siasa. Naomba unitajie yoyote moja tu! ili nijue kwama nabishana na mtu ambae ana uelewa mkubwa wa mambo ila yupo indirect( mtu wa kupenda ligi)
Hakuna mzunguko wa pesa kama ulivyokuwa,kuna importation kubwa kuliko exportation hiyo ni moja ya sababu.
 
Mark my words,Tanzania hakuna reserves za kutisha,ndo hizo tunategemea bahari ya hindi huko karibia na Zenj au Lake Tanganyika ambapo utafiti bado unafanyika.

hapa naomba tufunge mjadala.
 
Mimi nadhani elimu bure inawezekana kwani enzi za Mwalimu ilikuwaje? Na pia wanafunzi tulikuwa tunapewa madaftari kalamu na rula toka Elimu supplies. Kama wakati ule
Iliwezekana kwanini sasa hivi isiwezekane?
 
Pj nani kakwambia mzunguko wa pesa ni mdogo hali Mafisadi wanaibuka kama mzunguko ungekuwa mdogo hilo lisingekuwepo tatizo ni ubinafsi wa wachache kujilimbikizia mali na kuacha wengine wakiteseka
 
Back
Top Bottom