Elimu bure: Bomu kwa taifa

Elimu bure: Bomu kwa taifa

kinachotokea kwa sasa ni kwamba wazazi (kwa kificho) ndo wanaoenda kuomba mwl awafundishe tuition watoto kwa siri. Hakuna majaribio wala mitihani ya kujipima zaidi ya mitihani ya muhula na kusubiri mtihani wa TAIFA. Namba tutaisoma.
 
ni kweli michango ya wazazi ilikua mingi na isiyoeleweka, wakuu wa shule walikua wakipiga sana hizi fedha, lakini pia zilikua zinasaidia, wanafunzi wanaenda shule wanakula wanasoma vizuri, ila sasa hivi wanafunzi inabidi watoke saa 8 badala ya saa 11 kwa sababu ya njaa,

pia ukarabati mdogo wa vitu kama madawati, ujenzi wa vyoo, kuleta maji shuleni n.k hivi vitakua vinasubiria hela serikali kuu ambayo itakua haitoki kwa wakati na ikitoka haitoshi
kwa ufupi tumezidi kuharibu elimu
labda serikali ingejaribu ku regulate michango na kusaidia wale wasiojiweza kabisa ila sio kufuta michango yote
 
wapuuzi wakubwa nyie,kwa masikin kabisa anaona umuhimu wake ila kama una uwezo huwezi ona umaana wake
 
wapuuzi wakubwa nyie,kwa masikin kabisa anaona umuhimu wake ila kama una uwezo huwezi ona umaana wake
wewe hustahili kuwa kwenye mijadala kama hii inayohusu mustakabali wa nchi na mipango endelevu, maana uwezo wako wa kutafakari hoja ni mdogo mno
 
wapuuzi wakubwa nyie,kwa masikin kabisa anaona umuhimu wake ila kama una uwezo huwezi ona umaana wake
Maskini yupi unamzungumzia? Au huu umaskini wa kuumbiwa na wanasiasa? Nchi hii haina maskini watakaoshindwa kuwalipia watoto wao michango ya majengo na madawati. Kwani, elimu kabla ya magufuli ilikuwaje? Tulikuwa tunachangia na viwango vilikuwa juu.
 
Elimu bure imeleta manufaa makubwa sana kwa wazazi wenye kipato cha chini na Taifa kwa ujumla ktk maana ya lupunguza kiwango cha watu wasiojua kusoma na kuandika. Ukiaangalia takwimu zilizotolewa ni kuwa zaidi ya watoto 130000 wameandikishwa darasa la kwanza mwaka huu. Hii inamaanisha wapo watoto wengi waliokuwa wanakosa kwenda shule kwasababu ya ada na michango holela iliyokuwa inatozwa na walimu hasa wakuu wa shule wenye tamaa. Wazazi wengi walishindwa kumudu ada na michango hiyo na hii sio kwa wazazi toka vijijini pekee bali hata waliopo mijini ikiwemo Dar-Es-Saalam. Matatizo yanayozungumziwa na hao wanaojiita walimu wakuu taratibu yatatafutiwa ufumbuzi. Naunga mkono serikali ya awamu ya tano kwa kazi yake nzuri.
 
HUWERZI KUZUNGUSHA MIKONO MIEZI MITATU UKAWA NA AKILI TIMAMU.
 
Maskini yupi unamzungumzia? Au huu umaskini wa kuumbiwa na wanasiasa? Nchi hii haina maskini watakaoshindwa kuwalipia watoto wao michango ya majengo na madawati. Kwani, elimu kabla ya magufuli ilikuwaje? Tulikuwa tunachangia na viwango vilikuwa juu.
we unadhani kwanini idadi ya watoto kuandikushwa imeongezeka? hii ina maana kuna ambao isingekuwa hivyo wangeshindwa kuwaandikisha watoto,anyway tusibeze ila tuunge mkono jitihada
Mtu akishalea kila kitu ulewa pombe ni mbaya sana
 
Ishu hapa si idadi ya wanaoandikishwa bali UBORA wa hiyo elimu inayopigiwa chapuo. Serikali haitoi pesa ya kutosheleza hata yenyewe inachelewa sana. Pia ELIMU si ada tu wajameni WALINZI & WAPISHI hulipwa mshahara na shule kwa michango ya wazazi. Nao sasa hawachangii hata 100/=. Tutegemee ZIRO za kutosha Sekondari (O'level) za Umma. Wakati shule binafsi wakitoboa vizuri zaid
 
Hatupaswi kufurahia kushindwa utekelezaji wa mikakati yenye tija kwa taifa leo na siku zijazo..twapaswa kushiriki kwa karibu ktk kuisaidia serikari kutatua changamoto zilizopo kwa kila mmoja wetu hasa wenye uwezo kuchangia kwa namna moja uboreshaji wa baadhi ya miundombinu,vifaa ktk mashule yanayotuzunguka huku tunakoishi,tunakofanyia kazi,fanyia starehe n.k
 
wazazi wameambiwa hakuna kulipa chochote (nafikiri alimaanisha na Michango yote) kwa hiyo hela zetu sasa tuongeze kuchangia harusi, kitchen party na send off?
 
Elimu bure imeleta manufaa makubwa sana kwa wazazi wenye kipato cha chini na Taifa kwa ujumla ktk maana ya lupunguza kiwango cha watu wasiojua kusoma na kuandika. Ukiaangalia takwimu zilizotolewa ni kuwa zaidi ya watoto 130000 wameandikishwa darasa la kwanza mwaka huu. Hii inamaanisha wapo watoto wengi waliokuwa wanakosa kwenda shule kwasababu ya ada na michango holela iliyokuwa inatozwa na walimu hasa wakuu wa shule wenye tamaa. Wazazi wengi walishindwa kumudu ada na michango hiyo na hii sio kwa wazazi toka vijijini pekee bali hata waliopo mijini ikiwemo Dar-Es-Saalam. Matatizo yanayozungumziwa na hao wanaojiita walimu wakuu taratibu yatatafutiwa ufumbuzi. Naunga mkono serikali ya awamu ya tano kwa kazi yake nzuri.
shule ya msingi walikua wanalipa michango gani hiv?
kwa mwaka ilikua inafika jumla kama shilingi ngapi?
 
Walimu wakuu wamegeuka maafisa manunuzi, cha ajabu badala ya kununua vitabu wananunua risiti za kwenda kuambatanisha kwenye mahesabu.

Huku kwetu shule imepewa zaidi ya milioni tatu lakini imeshindwa kulipia umeme wa muhongo wa laki moja, mwalimu mkuu kila siku yuko wilayani.
 
Elimu Inapogeuzwa Suala Kisiasa, Matokeo Yatakuja Kuonekana Muda Si Mrefu Tu!!!!
 
Mbona ninyi wakuu wa shule mnalialia sana??.
Kwani hamna mishahara?.
Mlizoea kupiga dili mwaka huu mmekoma.
Mkaanzisha makundi na kuwachukia walimu walokuwa wanahoji mapato na matumizi ya shule.
Magufuri kawaweza maana walimu wengi walikuwa wamekata tamaa kwa kuwaona ninyi mkineemeka na hali hamfundishi na wale wanaofundisha mnawakanyagia chini.
Kuondolewa kwa michango mashuleni naunga mkono 100%,maana kulikuwa na mgongano wa maslahi ulio sababisha walimu wengi kutofanya kazi kwa moyo.
MAGUFULI,HAPA UMEWEZA MAANA WALIMU KWA SASA TWAFANYA KAZI KWA MOYO NA SIYO KUKUOGOPA.

...Yaani wewe mkuu unawaza "kula" tu badala ya kui face "reality". Kwa kifupi sana wewe ndiye mwenye roho ya kifisadi na kupenda kujineemesha binafsi na laiti ukipewa nafasi fulani, watakukoma. Ndiyo, kwa sbb imenenwa yamtokayo mtu ndiyo yaujayo moyo wake!

Ushauri kwako ni kuwa:

...Chambua utekelezaji wa sera hii ya "elimu bure" kama kweli wewe si "mwalimu maslahi" tu huko unakofundisha na impacts zake kwa marefu na mapana yake kwako wewe mwalimu, watoto unaowafundisha na jamii kwa ujumla

...Umekaa unashambulia walimu wakuu wa shule unadhani elimu ni mwalimu mkuu wako wa shule. Elimika mwalimu usaidie taifa lako. Who knows? Pengine ipo siku na wewe waweza kuja kuwa mwalimu mkuu.

...Binafsi, I wish upate hiyo nafasi kesho tuu tukuone utakavyokuwa unapiga hela!!
 
Back
Top Bottom