Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 793
aha!! kumbe tatizo ni kuwa chama chenye "real wanachama" hakina wanachama wa familia.. yawezekana wenzetu definition yao ya "familia" ni pana zaidi kuliko ya kile chama cha "familia"!!!
Kama nilivyokuambia mkuu sikuwezi ku-spin... hoja umeipata umeamua kutafuta sehemu ya kutokea... poa mkuu.
Respect
Kasheshe