Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
nafikiri walikuwa wanafikiria kutunga sheria ya kuondoa rushwa kitu ambacho kwa masikitiko makubwa naweza kutangaza kuwa wameshindwa. Sheria hii inafungua mlango mpya kabisa wa matumizi ya rushwa katika chaguzi.
Ni
Kweli kama kweli serikali ina dhamira na nia ya dhati ya kuweka mazingira ya haki ya uchaguzi nadhani inabidi waangalie kwa upana mfumo mzima wa uchaguzi.
- Sifa ya mgombea -Kuna issue ya mbombea binafsi
- Sheria ya matumiz haiwezi kuwa fair kama CCM inamiliki mali na vitega uchumi ambavyo wananchi wa vyama vtote na watanzania walichangia.Kuweka mazingira sawa ya mapambano hii sheria ingependekeza mali za CCM zilizopatiakana wakati wa chama kimoja zirudishwe serikalini. Na kama so hivyo labda Hii sheria iwe kwa CCM alafu waweke kifungu kingine chenye kukidhi vyama viliyokuja baada ya mfumo wa vyama vingi.