abdulqadirj
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,020
- 3,207
Unyama sana sisi wengine sikukuu yetu ni kula pilau tu,Yangu
Karibu uzipige mpaka ukimbieNtakula nyama tu.
SafiUnyama sana sisi wengine sikukuu yetu ni kula pilau tu,
Huwaga inabamba sana pia, na watu wengi hupata nafasi ya kwenda maeneo mbalimbaliXmass nchi nzima ipo likizo
Wewe kumbe hujasikia baa zilifungwa Tabata na sinza na leo ndo zinafunguliwa.Idd inabamba Temeke Mbagala , kigamboni , kisemvule huko mkuranga hizi ni Islamic province lazima vibe liwe juu
Sehem za bata nyingi huwa zinafanyiwa marekebisho kipind cha ramadhan kwa sabab biashara za aina hiyo huwa zinadororaWewe kumbe hujasikia baa zilifungwa Tabata na sinza na leo ndo zinafunguliwa.
Alaaa kumbe, basi huo ndo ushahidi tosha mkuuEid ndio sikukuu yenye pesa balaa unauza wateja unawapanga folen
Krismas na pasaka mzunguko wake unakuaga wa kawaida
Assalaam alaykum,Samaleko
For real eid inakuwaga hot for everyone kwa sababu naturally kuna mazingira huwa yanawabana wote waislam na wakristo kipind cha ramadhan then after wanakua kama funguliA mbwaSehem za bata nyingi huwa zinafanyiwa marekebisho kipind cha ramadhan kwa sabab biashara za aina hiyo huwa zinadorora
Lkn siku ya Eid wanapiga pesa mpaka wanapagawa
Sijakataa mkuu, ila kwa mwamko wa watanzania unaona ipi huwa inamfunika mwenzie??achana na xmas mkuu, Ni moja ya sikukuu kumbwa sana ulimwenguni ikifuatiwa na eid kisha pasaka
Inategemea na wewe upo sehem gani...Kama ni Pwani yani (Dar, Zenji, Tanga, Mtwara na Pwani) utaona Eid, Xmas, then pasaka ya mwisho.. lakini ukiwa mikoa iliyobaki Tz ni Xmas, pasaka the Eid ya mwisho.For real eid inakuwaga hot for everyone kwa sababu naturally kuna mazingira huwa yanawabana wote waislam na wakristo kipind cha ramadhan then after wanakua kama funguliA mbwa