- Thread starter
- #101
Roger that.....(nitengenezee na supu ya ukoo wa digidigi)
Naona kuna dig dig wa kiume amenona sio yule mkondefu utapata
Roger that.....(nitengenezee na supu ya ukoo wa digidigi)
Ivi dawa na hangova ni nini?
Wala hakuna haja ya JF ya jirani....vijana tunaoheshimika kwa kina babu tupo tumejaa tele MJ1..so worry not
Ivi dawa na hangova ni nini?
Naona kuna dig dig wa kiume amenona sio yule mkondefu utapata
Valuuu na supu ya dig dig
Dah....naona imenikomalia hadi sa hizi.......hivi via mobile haisadii?:smile::smile:
Aisee.....we need a resolution kwa hizi sikukuu za kati kati ya wiki.....zote ziwe zinapelekwa ijumaa
Aisee.....we need a resolution kwa hizi sikukuu za kati kati ya wiki.....zote ziwe zinapelekwa ijumaa
Hahaaaaa....Hivi zosa dovutwa hawezi kusaidia?
Digidigi anapomwombea simba kifo...!
Digi dig is no longer exist
We ebu shindwa na ulegee ulikuwa na nani mimi au mama dig dig....kwanza unaongelea kwenye pilau,supu au makange tumboni kwa Roya, Rose na Bigirita
Extinct!
Roger that.....(nitengenezee na supu ya ukoo wa digidigi)
Naona kuna dig dig wa kiume amenona sio yule mkondefu utapata
Kuna kitu kinaitwa ADDICTION hapo nadhani mmenielewa, hivi hii thread inazungumzia supu?Valuuu na supu ya dig dig
hahahah....If EID is equal to any working day then its friday....if X-mass is any Sunday, then its Friday
If not then thursday is saturday
Mama Bigi lazima accomment hapa!
Kuna kitu kinaitwa ADDICTION hapo nadhani mmenielewa
MAGAZIJUTO kwanza then ndio useme equal to what....
Where are u.....
Kuna kitu kinaitwa ADDICTION hapo nadhani mmenielewa, hivi hii thread inazungumzia supu?
WanaJF habari za mapumziko ya kusheherekea Eid! Mama kubwa anapenda kujua jinsi ulivyosheherekea....ulikuwa wapi na ulikula nini
Huyu mtu sijui kuna tatizo gani simu yake inaitaa tu
Mama Bigi hebu muulize digidigi kwanini anadanganya wakubwa zake.....if he could have done the needful, then our answers on this question would be the same....
Supu ya ukoo wa digidigi bana...mark that!
we siuliona pale alivyokuwa kakabaliwa kashikwa hata kuruka ruka alikuwa hawezi tena....kumbe alitudanganya hata kwa into pia alichiti...hakuwa mama kwanza tunamjua sisi ni mama kwanza katika jamii ya dig dig