Ehud Barak belittled Tanzania

Rookie mistake, angeweza kusema Germany, Britain na France ni nchi zenye umuhimu mkubwa sana bila ya kuzi compare na Tanzania, na ku make point yake ile ile bila ya adha ya controversy.
Ndugu Kiranga, naomba nikukumbushe kuwa umewahi kufanya kosa kama hili pale ulipoanzisha thread kumsifia Mnyika na ukaishia kwa kumponda Regia Mtema. Na sisi wengine tulikuonya kuhusiana na hilo. Ndo kusema haya mambo hutokea kwa baati mbaya au nzuri, hasa panapokuwa na ukweli ndani yake (ni kweli kwamba German, Uk na France ziko next level na Tz iko nowhere).
 
Mjadala unaovutia! Jambo ambalo labda hatulifahamu ni tabia ya viongozi wetu kuwa ndumila kuwili na vipofu wasioona mbali. Msisahau historia inadhihirisha uhusiano wetu na Israel hasa baada ya kuitambua Palestina! Hapo kale Israel ndiyo ilikuwa techncial provider (wattalamu wa kiufundi) kwenye majeshi yetu. Soemthing went wrong due to Nyerere position on the Midle East conflict. Sasa kama Waziri Mkuu wa nchi ambayo haikosekani kwenye international news almost every day anashindwa kui-rank nchi ambayo inaweza kwa bahati kusikika kwenye international media labda mara zisizozidi 5 kwa Mwaka, tena wakati wa maafa (kama mafuriko ya jusi yalipata sekunde zisizozidi 7 kwenye Aljazeera) na haikurudiwa. Na tena nchi hizo zina uchumi ambao ni mkubwa sana na wana maono na mikakati ya ukweli ya miaka mingi tu ijayo (kulinganisha na uchumi wetu"Unaopaa" total GDP yetu inaweza kuwa ni budget ya sehemu ya kajimbo kamoja tu huko kwao achilia mbali malizote tulizonazo).

Ah inaudhi... yote haya ni ulafi na umaamuma na unafiki wa baadhi ya viongozi tuliowapa dhamana mpaka nchi hii inashindwa kusomeka ndani na nje... Ukiwakuta na wazungu badala ya kuonyesha na kustand to our positions wana walambalamba simply because wameshakuwa brainwashed na kuamini Tanzania bila misaada haiwezi kuendlea... na sisi hatuwezi kuwekeza bila wao... na baadhi yao wakishagawiwa milungula kadhaa wanasahau kabisa Utanzania wao na wanaingia mikataba na kupitisha sheria (with posho in mind not our country) mbovu bila hata huruma... na yeyote anaepinga au kusimama kidete wanamjengea jungu na fitina ooh katumwa ooh anataka nini sijui... na mpaka wanawabadili viongozi wanaoonekana kuwa wana mapinduzi na maendeleo wa ukweli ambao hawalindi maslahi yao wanalinda maslahi ya nchi hao ni maadui... aibu kwelikweli najisikia vibaya sana kwa kauli hii ya Ehud Barak...
 
Ha ha ha ha ha! Na sisi kwa mbwembwe hatujambo! Mlinifurahisha sana na vile "vikomandoo" vyenu pale Uwanja wa Taifa eti vikivunja vitofali vya kuchoma. Onesho la ki-local kabisa kwa taasisi kama JWTZ kwa dunia ya leo. Funny enough, mkijidai na ma-vifaru makuukuu ya ki-Iran - hayo ndio majibu yake. Kweli tunajidharaulisha wenyewe.

Hebu tuache mbwembwe tujenge taifa letu kwanza; ikibidi masaa ya kazi yaongezwe kutoka 8 hadi 14; wazembe watandikwe viboko hadharani, mafisadi wanyongwe, tuache kulilia viposho na starehe (VX) zisizokuwa na maana. Miaka mitano tu kwa rasilimali tulizo nazo dunia itatia adabu na watajua Tanzania ni nani. Wajerumani, Wachina, na Wajapani walifikia maendeleo waliyo nayo kwa njia hii na sio blah blah za kipuuzi kama hapa kwetu - kila kitu tunaonewa.

Well, tumeshatukanwa, kama na ni "mkono" hatuwezi lolote asilani - njia pekee ni kujikita katika uzalishaji wa kufa mtu mpaka watie adabu - hiyo ndio jeuri pekee tunayoweza kuitumia.

Tuanze na kuiweka KATIBA MPYA vizuri ili ku-address hayo - kwa "matusi" haya tuamue sasa "kujilipua" na sio kwa kuvaa mabomu (kwa sababu pia hatutawaweza) bali kama nilivyoeleza.

Nakuunga mkono mkuu!
Bila nidhamu ya utendaji kazi, nidhamu ya kusimamia rasilimali za Taifa, nidhamu ya kujali maslahi ya Taifa, nidhamu ya kusimamia sheria tulizojiwekea, nidhamu ya kuwawajibisha walioboronga ktk utendaji, nk nk tutabaki kulia lia tu na kudharauliwa kila mahali!!
Wenzetu wameweza kwa kuweka nidhamu mbele, sio longo longo!
 
Kuna watu humu JF walikuwa wanapigia debe kuwepo ubalozi wa Israel hapa Bongo. Tulipowaeleza ukweli kuwa hawa jamaa hawafai walikasirika na hawakuamini. Haya sasa oneni wenyewe!
 
Honorary consul: Barak belittled Tanzania

Kasbian Nuriel Chirich says that in trying to stress importance of key euroepean countries to Israel, defense minister made disparaging remark on African country.


Tanzania's honorary consul in Israel filed an official complaint Sunday over what he referred to as disparaging remarks made by Ehud Barak last week.

Addressing the Foreign Ministry's response to harsh criticism leveled by European Union members of the UN Security Council over Israel's settlement construction in the West Bank, the Israeli defense minister said "Germany, France and Britain are not Tanzania, Mauritania or Tripolitania. These are very important countries in the world and we have no interest in increasing the tensions with them."
In an official letter to Foreign Minister Avigdor Lieberman, the consul, Kasbian Nuriel Chirich, said "on behalf of the Republic of Tanzania I wish to express regret over the comments made by Defense Minister Ehud Barak, who, in an attempt to (emphasize) the importance of key European countries, chose to belittle Tanzania and even compare it to a country that does not exist."

Chirich stressed that Tanzania was the largest country in east Africa with a population of 46 million. He said Israel and Tanzania maintain extensive financial, diplomatic and security relations which go back to the early 1960s, when the African nation gained its independence.

"I would be glad if an official Israeli representative accompany on my next visit to Tanzania in January so that he will be able to experience the wonders of this vast country and its peace-seeking people," the honorary consul said.



SOURCE: Honorary consul: Barak belittled Tanzania - Israel News, Ynetnews
Much as I don't support that contempt, I partly concur with Ehud Barak in one way or the other. There so many bad things happening in the country, yet going unabated, and since the world is now reduced to a village, we have no hideouts at all. Likening Tanzania with a non-existent state is a polite way of saying we are bull shit, because we have failed to distinguish between a right and a privilege for so long that we cease to be a state.

Remember, there are so many Multinational Companies, most of which are intelligence agencies which carry out espionage works. They witness whatever is going on in the country and they feed they systems back home. Their analyses make they conclude that way.

Nevertheless, He is cynical, good for nothing who deserves to die on day-time light for belittling this beautiful country with ugly citizens.
 
Kuna watu humu JF walikuwa wanapigia debe kuwepo ubalozi wa Israel hapa Bongo. Tulipowaeleza ukweli kuwa hawa jamaa hawafai walikasirika na hawakuamini. Haya sasa oneni wenyewe!

Poor thinking! Kwa hiyo unataka kutueleza wa-Iran ni wazuri ndio maana ubalozi wao upo hapa Bongo? Na Wamarekani je? Na Wapakistan?
 
Wapi Mwalimu ? Unaona tulikofikia, kuchekacheka kama vigori matokeo yake ndo hayo! Hawa jamaa hawana nidhamu, ni muda wa baba mwenye nyumba kutoa notisi ya dakika 48 kudadeki badala ya kutoa mwaliko! Who are they?
 
Ehud Barak is correct to the dot. Tanzania is and never will be important as Germany,France or Britain as compared by them. Never will! I wonder why people are lamenting and complaining about Ehud Barak's comment! Nonsense.

Tanzania's era of not being belittled by others ended when the late Mwalimu Julius Kambarage departed from this World of Tanzania. I remember one speech delivered by the late Mwalimu when he said that,''these days Tanzania is no longer respectable as it used to be in those old days.". Mwalimu continued,'' In old days when a Tanzanian stands before the intenational meeting like UN,UNESCO,WHO,OAU etc,all members of the respective meeting shall pay attention to what Tanzania is going to say! But these days,when a TANZANIAN STANDS TO DELIVER HIS/HER SPEECH EVERY BODY STARTS YAWNING AND GOING OUT FOR A SMOKE"

These are the words of the late Mwalimu himself. He was not joking,he was just telling the truth. That is how Tanzania is now.
I would like to hear a word from Mr. Benard Membe,our Minister for Foreign Affairs. He is always quick to react, I wonder this time he have stayed dumb about Ehud Barak's comment! Why? Please Mr.Membe say something for defending your hopeless and poor country!
 
Lakini kasema kweli. Na zaidi ya kulialia hapa JF, there is absolutely nothing, zero, zilch, nada you can do about it. Too sad and too bad.

He ain't gonna lose sleep over it.

Watanzania hatupendi kusema ukweli wala kukubali kusikia ukweli. Inatubidi tuangalie ukweli wa aliyoyasema kuliko kum-accuse kwani hata kama asingesema hivyo ndivyo anavyotuchulia sasa sini bora katueleza ili tuweze kujitambua na kuchukua hatua ili siku moja asithubutu kutamka neno kama hilo kwani kwakufanya hivyo anaweza poteza maslahi fulani?

Lakini ndani ya hiyo statement kuna resentment ya aina fulani kwamba pengine ni kati ya mataifa maadui wa Israel lakini tusio na impact yeyote ndiyo maana haiwasumbui...maoni yangu maana kwanini kati ya wengi kwanini atutaje sisi?
 
"I would be glad if an official Israeli representative accompany on my next visit to Tanzania in January so that he will be able to experience the wonders of this vast country and its peace-seeking people," the honorary consul said.

kumbe alikuwa anatangaza utalii kiaina.
 
Tanzania imefanya sahihi kuonesha kutofurahishwa kwake. Barak angeweza jabisa kutunia the proverbial "banana republic" as point of reference sidhani kama kampuni ya nguo with similar name ingelalamika.

Mkuu MMM hivi kweli balozi wetu Mtanzania anaweza kufanya alilolifanya huyo jamaa? Tanzania haijalalamika kutokufurahishwa bali kuna Mtu (ambaye nadhani si Mtanzania - kama Makondeko alivyokuwa anaiwakilisha Shelisheli) amelalamika kwa niaba ya Tanzania. Tangia nizaliwe sijasikia Balozi au Mwakilishi wetu yeyote Mtanzania akikemea kitendo kama hicho.
 
Hivi kumbe kuna wanaoipenda hii nchi?? Sasa yanayofanyika ndani ya Serikali hii ni Matusi zaidi ya Mtu yeyote akitukana hata yafikia...

Poor Tanzania.. Jina hili linanifanya nipate Kinyaa.. puuu!..
 
Hivi hizi kelele hapa zinasababishwa na; Uzalendo wetu, chuki dhidi ya wayahudi, au ukweli wa mlinganisho wa Barrak?! Tuseme jamaa angesema Israel haijali lolote, Britain, France na Germany ni sawa na Tanzania, Mauritania na Tripolitania tungempigia makofi?! Watawala wanaotutukanisha duniani tunawaona mashujaa, wageni wanaotuambia ukweli tunawaona maadui!!! Basi msitoe mapovu sana, umuhimu wa Tanzania na China kwa mataifa duniani na sawa kabisa!! Au uongo?!
 
Hivi hizi kelele hapa zinasababishwa na; Uzalendo wetu, chuki dhidi ya wayahudi, au ukweli wa mlinganisho wa Barrak?! Tuseme jamaa angesema Israel haijali lolote, Britain, France na Germany ni sawa na Tanzania, Mauritania na Tripolitania tungempigia makofi?! Watawala wanaotutukanisha duniani tunawaona mashujaa, wageni wanaotuambia ukweli tunawaona maadui!!! Basi msitoe mapovu sana, umuhimu wa Tanzania na China kwa mataifa duniani na sawa kabisa!! Au uongo?!
Hata mama yako pamoja na kwamba ni mwanamke huezi ukamwita 'we mwanamke wee ..' kila kitu kina pahali pake na wakati wake. It is common sense some nations are more equal than others, lakini sio kwa kuwa ni hivo basi mtu aoneshe dharau waziwazi, hiyo haifai.

On the funny side of this thread, nimerejea kwene uzi huu baada ya leo niko zangu kwene daladala nikaona mtu na kimeo chake anatuovateki huku ameweka bendera ya mayahudi kwene dashboard yake..unawababaikia na kuwashadadia wazayuni ambao wanakuoneni kama vinyec tu..kaz kwelkwel. Asavali ya mimi sijasema kitu.
 
Sasa tunasubiri nini kumfukuza balozi wao hapa Tanzania na kukomesha mahusiano yote. Hii serikali legelege damn it!

Hatuna balozi wa Israel, Tanzania awa jamaa wapuuzi sana
 
Tanzania walipata kuvunja uhusiano na Israeli kwa ajili ya suala la Palestina ,,..lakini walitusaidia sana kuanzia issue ya kuanzisha JKT,ujenzi wa Muhimbili ,Chuo kikuu dar, mtandao wa mahoteli ya serikali hasa Mount Meru na Kilimanjaro HOTEL ETC
 
Tanzania walipata kuvunja uhusiano na Israeli kwa ajili ya suala la Palestina ,,..lakini walitusaidia sana kuanzia issue ya kuanzisha JKT,ujenzi wa Muhimbili ,Chuo kikuu dar, mtandao wa mahoteli ya serikali hasa Mount Meru na Kilimanjaro HOTEL ETC
Hizo hoteli mnazo tena wenyewe? Ufisadi mtupu mlobakia nao.

Might is not right
 
Tanzania walipata kuvunja uhusiano na Israeli kwa ajili ya suala la Palestina ,,..lakini walitusaidia sana kuanzia issue ya kuanzisha JKT,ujenzi wa Muhimbili ,Chuo kikuu dar, mtandao wa mahoteli ya serikali hasa Mount Meru na Kilimanjaro HOTEL ETC

Useless society !
crazy jews.png
 
Back
Top Bottom