Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Hawa watu hawana maana kabisaa ! AbdulhalimHata mama yako pamoja na kwamba ni mwanamke huezi ukamwita 'we mwanamke wee ..' kila kitu kina pahali pake na wakati wake. It is common sense some nations are more equal than others, lakini sio kwa kuwa ni hivo basi mtu aoneshe dharau waziwazi, hiyo haifai.
On the funny side of this thread, nimerejea kwene uzi huu baada ya leo niko zangu kwene daladala nikaona mtu na kimeo chake anatuovateki huku ameweka bendera ya mayahudi kwene dashboard yake..unawababaikia na kuwashadadia wazayuni ambao wanakuoneni kama vinyec tu..kaz kwelkwel. Asavali ya mimi sijasema kitu.