Gilberto_
JF-Expert Member
- Aug 29, 2024
- 1,071
- 2,984
Mi counter target hata kama hawakabi, nnapoikubali ni kwenye kona nikiokoa kona naweza kufanya counter ya haraka tu..Huwa nabadilisha sana ila kwa sasa nacheza na Defensive moja kwa Rb wangu maana ni attacking... Counter target sipend maana napata mzigo kwenye kukaba😃
Ila nikieka mmoja tu apo mbele napata nafasi ya kukimbizana na beki aliebaki mara anakabwa 😂
