Warld
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,827
- 4,768
Mkuu mtu anaecheza na wewe wala hasumbuki ..Warld utanitrain night mkuu net haiko stable, niilikua namteja pia.
- Anauhakika wa kudrible kutoka goli kwake hadi kwako na akakufunga bila kutoa pass.
- Anauhakika wa kupiga nje ya box maana hutii pressure.
- Short corner unafungwa kirahisi .
-Ukipora mpira unaanza kuload kwa kuupeleka.
- Ronaldo umempa counter target hivo hafanyi pressing.