kwema kabisa, vip wewKwema apo.
Apo ndiyo huwa sielewi, ila kwangu imewahi kusimama zote ajabu ni kuwa kasi ya mchezo ilinishinda ππ maana kila kitendo kinafanyika haraka mno.Zile bars kusimama vile mpaka uwe na router strong sio
Kutusalimia tusijihisi wapwekeUnawaleta wazee kufanya nini huku mkuu
nakumis pia ila ni kama umenitupa hiviNko njema,
Ni vile nlikumiss.
au siooooπππππ
Tumetupana
Sema inabidi nitafte chimbo nkakufiche.au siooooπ
utatisha sana familia π₯Sema inabidi nitafte chimbo nkakufiche.
Limeisha hilo.utatisha sana familia π₯
Mtandao gani huoπApo ndiyo huwa sielewi, ila kwangu imewahi kusimama zote ajabu ni kuwa kasi ya mchezo ilinishinda ππ maana kila kitendo kinafanyika haraka mno.
Halotel.Mtandao gani huoπ
Aseee ππHalotel.
Pale town halotel iko stable na ukitaka kulia jaribu yas mwendo wa pole ππAseee ππ
Dah nawaza ni mnara gani huo maana nilishawai chezea karibu na mnara kabisa na haikupanda bars zotePale town halotel iko stable na ukitaka kulia jaribu yas mwendo wa pole ππ
Umewahi kuona mpo sehemu moja ila mmoja wenu analalamika network ila akihama alipokaa network inakuwepo..Dah nawaza ni mnara gani huo maana nilishawai chezea karibu na mnara kabisa na haikupanda bars zote
Sijawai kutana nayo hiyoUmewahi kuona mpo sehemu moja ila mmoja wenu analalamika network ila akihama alipokaa network inakuwepo..
Hiyo ipo nahisi hata uwezo wa simu unachangia maana simu ikiwa na joto la kati game linachezeka powa sana,Sijawai kutana nayo hiyo
πππMkuu kuna wachezaji hata siwahitaji ( messi, Ronaldo, yamal } hao kwangu hawana nafasi ππππ