eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mala nyingi mtandao naupata kuanzia saa tatu hadi saa tisa mchana kwahyo baada ya hapo eneo naloenda kunakua hmna network mpaka kesho yake tena yani, ndo maana niliuliza hivyo
Hapo kamzozo basi utakua unaorganize mapema na opponent ili mcheze mchana...


Au weekend kama utakua na muda uguse game zako zote
 
Back
Top Bottom