lestone
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 654
- 1,422
Ndio maan ukachelew kurud kweny room!?😀Nina ushahidi wa leo😆
Ndio maan ukachelew kurud kweny room!?😀Nina ushahidi wa leo😆
Leo bana kulikuwa na baridi sanaa asbh. Mpaka screen nikawa naiona nzito, vidole vimeganda…nikachanganyanya na ile mitama uliyonizabua, ehee nikaamka nikaweke chai.. narudi haupo😆Ndio maan ukachelew kurud kweny room!?😀
Anaonaga kama anaumia yeye 😃😃Ukiweka Injury Razorblade anatamanigi kulia 😂😂🙌
Na mm ntamgift Razorblade akimfunga NEGAN 😆😆Selikavu mkuu naomba nianze Corrie de killer maana kuna gift kwaajili yake
Eeeh na utasaidia kumfunga kibwebwe.Nitamsindikiza🤣 na viboko
Sasa me nikaon uko kmy san hat hurud tuendelee. Afu natak nipush Division 😀 nikaon bora nisep huend hutak kugusa na mmLeo bana kulikuwa na baridi sanaa asbh. Mpaka screen nikawa naiona nzito, vidole vimeganda…nikachanganyanya na ile mitama uliyonizabua, ehee nikaamka nikaweke chai.. narudi haupo😆
Kaka mvumilie tu atakufikia🤣Selikavu mkuu naomba nianze Corrie de killer maana kuna gift kwaajili yake
Corrie de killer 😀 twende tuguse
Tuondoke mkubwa elnyxvi
Saw saw akipatikan now pia n frshGame za league humu wadau mara nyingi kuanzia saa nne unless otherwise umbahatishe mchana
Ila kuanzia saa nne wote tunakuwepo hapa
Hii ni leo na Kesho kama mechi zote zikiisha natoa fixture nyingine deadline itakua kesho kutwa saa 0000Hivi hii ligi ni lazima kucheza siku moja au siku yoyote, na kwenye kuingia unaingilia wapi au ni kucreate room kawaida halafu baada ya mechi mnashare matokeo, nipo zerpo to zero kwenye hili wakubwa
Afute tuu account aende FacebookUkifungwa na huyu jiandae kuhamia uzi wa mapishi
😀😀 ila mkuuSaa nne usiku au asubuhi
Usiku vip utakua na kipengeleSaa nne usiku au asubuhi
Ubaya ni kwamba Negan hii hayupo ila next league inshallah tutakua naeNa mm ntamgift Razorblade akimfunga NEGAN 😆😆
Usiku vip utakua na kipengele
Embu ngoja nimchek jamaa normal kama atakua na changamoto nitaingia mimi