eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Hivi hii ligi ni lazima kucheza siku moja au siku yoyote, na kwenye kuingia unaingilia wapi au ni kucreate room kawaida halafu baada ya mechi mnashare matokeo, nipo zerpo to zero kwenye hili wakubwa
Hii ni leo na Kesho kama mechi zote zikiisha natoa fixture nyingine deadline itakua kesho kutwa saa 0000

Game kawaida mara nyingi tunaprefer mpeane username ili ukampe invite ...

Game ikiisha unascreenshot mnalud mnamalizia hiyo moja na yenyewe unachukua tokeo then unaleta hapa unanitag mimi au Gilberto_
 
Back
Top Bottom