eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nimemalizana na hivi viumbe 🙌
Screenshot_20260502-054329_eFootball.jpg

Screenshot_20260525-060213_eFootball.jpg
 
Fene

Anza na hizi kwanza mkuu
Tuanze na Setting kwanza...

Ukiwa hapo kwenye Home screen ya Efootball utabonyeza Extras (Inaanza Home then Shop then Academy then Extras)View attachment 3589928
Itakuja hivi

Chagua game setting...
View attachment 3589930
Then itakuja hivi

Chagua play setting View attachment 3589931

Then utaweka Setting zako hivi View attachment 3589933

Depal

Ukiweka setting hivi...

Ngoja nikuoneshe namna ambavyo zitatokea kwenye mechi
..

Mpangilio wa Button umegawanyika sehemu mbili kuna ambazo hutokea wakati umeshika mpira na kuna nyingine hutokea wakati team pinzani imeshika mpira


Wakati ukiwa na mpira button zako za uchezaji huwa ni hivi

View attachment 3589947

Kushoton Joystick kwa ajili ya kuchagua uelekeo wa mchezaji pamoja na pass na mashuti ukitaka yaelekee upande gani utumia hiyi...

Then kulia kuna dash hii inatumika kumfanya mchezaji akimbie

Then pass inatumika kwa ajili ya kupiga short passes ambazo jnafika mguuni kwa mchezaji alafu through inatuumika kupiga pass ndefu zile za kutanguliza mbele


Kwenye setting za ukabaji zipo hiviView attachment 3589951

Ukishapoteza mpira kwenye kugana tunategema Button mbili

Ambazo ni Match up na Dash and pressure


Ukikana kwa kutumia match up lazima utumie na direction yan wewe unachagua mchezaji aende wap kuzuia njia au pass kwahiyo lazima umdirect
Lakn ukitumi dash and pressure unashika tuu bila direction hiyo (joystick) mchezaji anafata mpira mwenyewe...


Hapo sasa ngoja nikuelekeze kwenda training uende kujaribu namna ya kucheza na hizo button

Sasa training uliyoenda ni ngumu kdg nenda hii kwanza then ukiona umeweza utaenda ya pili

Anz na hii kwanza

Nenda kwenye Academy

Chagua training View attachment 3590392

Ukitoka hapo chagua Dream team


Ukitoa hapo chagua Free training siyo ya Commanding ambayo umeenda

Then after anza na Attacking practice hapo utakuwa uwanja mzima mwenyewe cheza na wachezaji wako jaribu kupigiana pass ukiona umeweza kuelewa namna ya kuzitumia button lud nyuma chagua practicing match ujaribu kucheza na Opponent uone kama utatoboa

View attachment 3590393View attachment 3590394
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom