Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,599
- 27,599
Haipo hiyo😃😃Sema akija nimuombe code hata akiwa anatumia console tutacheza tu 😂😂
Haipo hiyo😃😃Sema akija nimuombe code hata akiwa anatumia console tutacheza tu 😂😂
Ndiyo leo anifurahishe namtegemea kwa CoopDaah atalia mno🤣🤣🤣mwenzako ana ndoto ya kuclear pack
Ndiyo mkuu 😂😂😃😃😃 nimekosa mimi nimekosa sana kwahiyo usiniambie kutunyanyasa kote huku efootball unatumia Pixel 3, tunafungwa kwenye Pixel 3
Yupo vzr huwezi amini jana me ndo nilikua kibonde yeye alikua Fiziki kabisaNdiyo leo anifurahishe namtegemea kwa Coop
Naenda kukodi kwaajili yake.Haipo hiyo😃😃
Nimelia mno🤣🤣Ndiyo mkuu 😂😂
Jana aliaga mapema kwa taptapYupo vzr huwezi amini jana me ndo nilikua kibonde yeye alikua Fiziki kabisa
Huyo hata hachezi kamdomo tuu na majina ya hovyo ndo alivyonavyoNaenda kukodi kwaajili yake.
Jana aliaga mapema kwa taptap
Nmeridhika na kibonyeo changu na sina mpango wa kubadili hadi nione game halisupportNimelia mno🤣🤣
Si aende kwenye kula kimasihara.Huyo hata hachezi kamdomo tuu na majina ya hovyo ndo alivyonavyo
Hapo ndo tutaangalia upepo twende wapNmeridhika na kibonyeo changu na sina mpango wa kubadili hadi nione game halisupport
Hakuna wa kumpa attentionSi aende kwenye kula kimasihara.
Apo ni pixel tu hamna kwingine.Hapo ndo tutaangalia upepo twende wap
Semaji letu Razorblade afanye kazi yake.Hakuna wa kumpa attention
Aah pixel hazilag sana???Apo ni pixel tu hamna kwingine.
Huyo akija akikuta bado anapumua anaua kabisaSemaji letu Razorblade afanye kazi yake.
Hichi kibonyeo kinajitahidi ila net ikiwa chini ndiyo tatizo.Aah pixel hazilag sana???
Huku ni vile allie anashindwa kujiunga mshamba yule 😂😂Jamaa anatusema saiv tumepunguza kushinda humu angekuja kile kipind before Jf haijafungiwa uzi kila muda upo on trend sijui angesema nini🤣🤣