Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Sikuwasha mkuu ila nahisi kuna muda mpinzani akishambulia sana inajiwasha yenyewe.Game ya pili ulivyokuwa unaongoza tatu uliwasha mojaππ nikasema leo kazi ninayo
Me naonaga nikiwasha ndo kama najiweka kwenye risk ya kushambuliwa sana maana ukabaji wangu tia maji
Aah hata sub uliweka Auto hiyo ipo na ya defensive ukiwa unaongoza second half inajiwasha na ukiwa upo nyuma kipind cha pili inawasha attack..Sikuwasha mkuu ila nahisi kuna muda mpinzani akishambulia sana inajiwasha yenyewe.
Baada ya mechi ya kwanza nikasema ngoja niende nae ya pili nikamfunge goli 5 ila isivyobahati kipa wako amekuwa man of the match kwa mara nyingine π.Sema nini Mkuu una mchezo wako mzuri sana... Upo calculated kila kituππme nikiingia kwenye game zako huwa naingia na mentality ya kukaba game nzimaππmaana nikicheza kdg nafwaaa week
Kipa ananisave sana huyuBaada ya mechi ya kwanza nikasema ngoja niende nae ya pili nikamfunge goli 5 ila isivyobahati kipa wako amekuwa man of the match kwa mara nyingine π.
Anhaa basi sijafatilia hiyo, kwenye sub huwa sipendi kusimamisha mechi sababu ya simu haitabiriki ndiyomaana nimeweka auto sub.Aah hata sub uliweka Auto hiyo ipo na ya defensive ukiwa unaongoza second half inajiwasha na ukiwa upo nyuma kipind cha pili inawasha attack..
Uliweka kwenye settings Auto Attack/defense
Game ya mwisho simu ikaanza mapepe game ikaanza kuganda kiasi nikasema hapa sasa nafungwa na chuma ya pili ikaingia.Kipa ananisave sana huyu
Me nina sub zangu nikiweka auto nitaletewa watu wa hovyoAnhaa basi sijafatilia hiyo, kwenye sub huwa sipendi kusimamisha mechi sababu ya simu haitabiriki ndiyomaana nimeweka auto sub.
Ujue hakuna game uliyoanza kuongoza nikashinda hii ndo ya kwanza...Game ya mwisho simu ikaanza mapepe game ikaanza kuganda kiasi nikasema hapa sasa nafungwa na chuma ya pili ikaingia.
Kuna muda mpaka najiuliza kwani Selikavu anatumia QC au LBC π.Me nina sub zangu nikiweka auto nitaletewa watu wa hovyo
Ila unaubonda mkuu karibia mechi zote umenifunga kwa beki zangu kutokuwa kwenye nafasi kwa wakati sahihi na hapa ndo nilipokuwa najiuliza sana maana mpira ulikuwa unacheza LBC na siyo QC.Ujue hakuna game uliyoanza kuongoza nikashinda hii ndo ya kwanza...
Nadhan ni mtandao umenisaidia π
Magoli yangu ya kubahatisha tuuπππIla unaubonda mkuu karibia mechi zote umenifunga kwa beki zangu kutokuwa kwenye nafasi kwa wakati sahihi na hapa ndo nilipokuwa najiuliza sana maana mpira ulikuwa unacheza LBC na siyo QC.
Mwenyewe tafsiri sahihi hapa ni mkuu NEGAN uzuri kacheza na sisi wote anatujuaIla unaubonda mkuu karibia mechi zote umenifunga kwa beki zangu kutokuwa kwenye nafasi kwa wakati sahihi na hapa ndo nilipokuwa najiuliza sana maana mpira ulikuwa unacheza LBC na siyo QC.
Kwa hayo maelezo tu japo kwa ufupi inaonyesha hutumii QC π.πππMkuu me ni QCπππ
Quick counter si unaingia uwanajani kukaba na kungojea chance ijitokezeπππ
Ndo mchezo wangu huo
Mkuu me natumia Quick counter ndo maana nikikutana na mtu anatumia Possession game nasema kimoyo moyo ameisha huyuππKwa hayo maelezo tu japo kwa ufupi inaonyesha hutumii QC π.
Nimeona mkuu kiuhalisia kuna narrow line kati ya QC na LBC
Mimi sio mzuri kwenye kupiga short passes maana nakosea sana kwenye direction na vile vile sipo vizuri kwenye turning (kitu ambacho nakitaka kutoka kwako) sasa nikikaba mpira kama niktoa pass ni boko unanifunga game ya mwisho nilitoa boko mwishoni wakati nataka kupiga pasi ikamfikia Kane wako ukaenda kukosa na kipa...