eFootball Special Thread

Sawa, ngoja nikachukue hiyo tgram
 
Wakuu natanguliza salama
Naombeni msaada wa namna ya kuipata account yangu ya Efootball, niliibiwa simu na baada ya kupata simu mpya nimejaribu ku link ile email ya Konami lakini imekataa
Sasa mwenye ujuzi wa kunisaidia tafadhali naomba msaada wenu.
 
Wakuu natanguliza salama
Naombeni msaada wa namna ya kuipata account yangu ya Efootball, niliibiwa simu na baada ya kupata simu mpya nimejaribu ku link ile email ya Konami lakini imekataa
Sasa mwenye ujuzi wa kunisaidia tafadhali naomba msaada wenu.
Konami hawawezi kukubagua yan wote tunaolink account zikubali ila wakatae kwako tu?

Kuna sehem utakua uliwapa password zako either Recover password kama unadetail zote...
 
Wakuu natanguliza salama
Naombeni msaada wa namna ya kuipata account yangu ya Efootball, niliibiwa simu na baada ya kupata simu mpya nimejaribu ku link ile email ya Konami lakini imekataa
Sasa mwenye ujuzi wa kunisaidia tafadhali naomba msaada wenu.
Hukutoa password kwa mtu mwingine?

Kama hukutoa muone Selikavu huyu ni hacker 😂🙌
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…