eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Sasa braza kaka Man u yangu imeingiaje hapa 😃😃😃
Mimi nashukuru kujiokoa kwenye addiction ya Man U maana ningekuwa naishi maisha ya tabu sana, Mimi tokea darasa la kwanza huniambii kitu kuhusu Man U bora nikose kula kuliko kukosa kucheki Man U hata mechi za usiku mzito nilikuwa natoroka home kwenda kucheki.

IKifungwa nilikuwa sina raha nikicheki mechi zao presha tupu , nikaanza kujiweka sobber program ya kuikataa sasa hata imenitoka rasmi sijui hata lini mara ya mwisho kuwaona.
 
Mimi nashukuru kujiokoa kwenye addiction ya Man U maana ningekuwa naishi maisha ya tabu sana, Mimi tokea darasa la kwanza huniambii kitu kuhusu Man U bora nikose kula kuliko kukosa kucheki Man U hata mechi za usiku mzito nilikuwa natoroka home kwenda kucheki.

IKifungwa nilikuwa sina raha nikicheki mechi zao presha tupu , nikaanza kujiweka sobber program ya kuikataa sasa hata imenitoka rasmi sijui hata lini mara ya mwisho kuwaona.
Nyie ndiyo walewale tu hakuna ulichojiokoa ni umeamua kujificha tu 😂

Ubaya wa mashabiki wa hii timu wakipata ushindi mechi 1 tu utasikia neno lao kubwa “Ndo tumeanza” 😂😂😂
 
Mimi nashukuru kujiokoa kwenye addiction ya Man U maana ningekuwa naishi maisha ya tabu sana, Mimi tokea darasa la kwanza huniambii kitu kuhusu Man U bora nikose kula kuliko kukosa kucheki Man U hata mechi za usiku mzito nilikuwa natoroka home kwenda kucheki.

IKifungwa nilikuwa sina raha nikicheki mechi zao presha tupu , nikaanza kujiweka sobber program ya kuikataa sasa hata imenitoka rasmi sijui hata lini mara ya mwisho kuwaona.
Man u itakuja iniue nipo nayo mpaka mwisho ijifie yenyewe
 
Nyie ndiyo walewale tu hakuna ulichojiokoa ni umeamua kujificha tu 😂

Ubaya wa mashabiki wa hii timu wakipata ushindi mechi 1 tu utasikia neno lao kubwa “Ndo tumeanza” 😂😂😂
Zamani katika harakati za kuacha ndio nilikuwa hivyo nikiona gari limewaka kidogo narudi sasa miaka takribani Mi 3 sijawahi kwenda kuwacheki kabisa hata taarifa zao sifuatilii.

Hilo lipo ndio maana sikuacha Moja kwa Moja nikienda kwa steps , nilianza kucheki big match tu Kisha baadae nikawa nafuatilia Jf tu Sasa sipo kabisa na jimejipima hata nikipata taarifa za kichapo hainiumi sasa.

Kitu ambacho ni ngumu ni kuhama timu yaani kuanza mapenzi na timu mpya tofauti na uliyoizoea tokea utotoni ni ngumu ila kuacha kushabikia timu ukiwa bize tu na mambo mengine haiwi ngumu sana .
 
Zamani katika harakati za kuacha ndio nilikuwa hivyo nikiona gari limewaka kidogo narudi sasa miaka takribani Mi 3 sijawahi kwenda kuwacheki kabisa hata taarifa zao sifuatilii.

Hilo lipo ndio maana sikuacha Moja kwa Moja nikienda kwa steps , nilianza kucheki big match tu Kisha baadae nikawa nafuatilia Jf tu Sasa sipo kabisa na jimejipima hata nikipata taarifa za kichapo hainiumi sasa.

Kitu ambacho ni ngumu ni kuhama timu yaani kuanza mapenzi na timu mpya tofauti na uliyoizoea tokea utotoni ni ngumu ila kuacha kushabikia timu ukiwa bize tu na mambo mengine haiwi ngumu sana .
Hufai kuwa Genaral wewe, unatakiwa uwe kama Tagon 😂

Unajua hutoboi lakini bora ufie hapohapo 😂
 
Back
Top Bottom