eFootball Special Thread

Umemkaba sana Neymar kweli mimi ni wa kupiga cross 5 mechi nzima๐Ÿ˜€

Sema kummaba Neymar nicheze mchezo wangu zamani wa ku dribble magoli ya Neymar na Roberto Carlo ni pure individual brilliance ๐Ÿ˜€
 
Umemkaba sana Neymar kweli mimi ni wa kupiga cross 5 mechi nzima๐Ÿ˜€

Sema kummaba Neymar nicheze mchezo wangu zamani wa ku dribble magoli ya Neymar na Roberto Carlo ni pure individual brilliance ๐Ÿ˜€
Goli la Robert Carlos nimekosea kukaba pale nimepeleka mchezaji si akasimama๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒmakosa๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ


Backline yako game ya kwanza ilijua kunishika๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒyan sikutembea kabisa
 
Saves 6 kwa 3 ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
 
Hatari na nusu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ afu wadau mki piga penalty mtuambie kipa kafata wapi , haiwezekan penalty nikose kila siku na nyie mpo
Hapana haruki upande mmoja... Kwa kila mtu


Sema inabid uwe unakariri kama jana aliruka upande fulani kesho kuna possiblity akaludia huo upande tena

Baada ya kuruka sehemu mara mbili itakayofata piga alikokua anaruka wakati unaangalia either karuka au kabaki kati kati...zikiisha mbili tena piga alipokuwa karuka๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Edo kissy nakusalimia kaka๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Kituo kinachofata ni wewe haiwezekana huna badge ya division one tutahama uzi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃtuanzishe wa kwetu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒphase ijayo nipo na wewe mpaka uipate๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ