Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 14,905
- 34,435
😂😂dadekiKamuongezee speed😃😃anfika 60 na hii settingView attachment 3462174
😂😂dadekiKamuongezee speed😃😃anfika 60 na hii settingView attachment 3462174
😂😂round hii akaze anifunge sasa
90 bhna😃😃😂😂dadeki
Mkuu calcedo hawezi toka leo wala kesho 🤣🤣🤣🤣🤣 najua kwaniniAah kama ni pale sawaa nikajua ulichokoma pale kwa akina Cannavaro 😃😃😃
Wale sio standard kama umempata Gravenbearch yule ni mzuri ukamtoe caicedo sasa pale kwenye kikosi chako😃😃
Anza kupita kwenye vijiwe vya kahawa uishi vizuri na wazee 😂Ile accounting yangu niliyouza🤣🤣🤣
Hii mapema mbona 😂
Yan Mac Allister na Rice hawajakufaa? 😂😂kikosi kime shiba sio mbaya akiwa wa events, pale hapakuepo CMF ninae mtaka
Si uliomba fixture za leoHii mapema mbona 😂
Wa kushusha rating au😃😃Mkuu calcedo hawezi toka leo wala kesho 🤣🤣🤣🤣🤣 najua kwanini
Sawaa chiefu Razorblade mtaalamu😃😃Anza kupita kwenye vijiwe vya kahawa uishi vizuri na wazee 😂
Umeamua utumie Open AI kunipanga na NEGAN 😂Si uliomba fixture za leo
Mkuu unanichoma kabisa yani. Aliyesumbuka na backline yangu ni nani na ndo kwanza ligi imeanza na unajua sijui kukaba? 😂😂😂Utacheza na kila mtu😃😃usiwe na wasiwasi kila mtu lazima asumbuke na backline yako😃😃
We pale kati nani mchovu😃😃Mkuu unanichoma kabisa yani. Aliyesumbuka na backline yangu ni nani na ndo kwanza ligi imeanza na unajua sijui kukaba? 😂😂😂
Sichezi 😂🙌