eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Ahaa mkuu mbona sijawahi kuziona vocha za TTCL😅
Kuna mzee anauza town huwa natuma mtu ananinunulia😃😃😃

Sema uzuri bundle zake hazina kikomo cha muda ni mpaka nizimalize😃😃😃

Mfano mbs 500 ni Buku hizo zinakaa mpaka umalize kwahiyo nacheza match then natoa line hewan naendelea na line nyingine 😃😃😃


Nilipo network strong ni TTCL
 
Selikavu na Razorblade msiwaze mtampata Rijkaard wiki ya mwisho😅
🤣🤣🤣 Razorblade atleast hata ametoa Gundu kampata Baresi...


Sema tupo moja moja me na yeye kipind kile nilimpata Owen yeye alikosa🤣🤣🤣


Alafu kesho hiyo ndo inafika chance deal ya hawa jamaa😃😃maana nimekosa penalty kama mara mbili hivi
 
🤣🤣🤣 Razorblade atleast hata ametoa Gundu kampata Baresi...


Sema tupo moja moja me na yeye kipind kile nilimpata Owen yeye alikosa🤣🤣🤣


Alafu kesho hiyo ndo inafika chance deal ya hawa jamaa😃😃maana nimekosa penalty kama mara mbili hivi
Nikajua peke yangu nakosa penalty

Sema hii phase ya pili baada ya Hazard penalty zimekua jau sana😅
 
NIMEONA WENGI MMEPENDEKEZA NO SMART ASSIST, NA IWE HIVO KWA WOTE MTAKAOSHIRIKI LIGI.

KILA BADA YA FIXTURE NITAWEKA #NoSmartAssist 😀
 
Kuhusu Utumiaji wa smart assist au?

Hapo inanipa changamoto mi sijui nikae upande gani kama bodi ya ligi 😅..
😃😃Wadau waliomba tupeane Round kwamba mfano Round hii tunatoa tukianza league ijayo tunatoa😃😃

Tukifika stage ya kutotumia kila mtu itapendeza zaid iwe mazima 😃
 
Smart assist ndio nini mkuu? Na kwanini mnaizuia?
Ni setting ipo kwenye game ambapo kuna baadhi ya function kwenye game ambazo ilibid ufanye wewe inafanya computer mfano kunyanyua pasi na Direction sahihi ya pas...

Runns sahihi za wachezaji... Kukaba na pia clearance kwahiyo unakuwa unacheza wewe pamoja na AI...

Nadhan hata wewe unatumia sema kwakuwa bado mgen unaweza usione


Sasa shida ya hii sisi ambao sio watumiaji unapata tabu sana kumkaba mtu wa smart assist 😃😃😃😃


Maana yeye anakuwa perfect kwenye runs kitu ambacho kinakuwia ugumu kukaba😃😃
 
Ni setting ipo kwenye game ambapo kuna baadhi ya function kwenye game ambazo ilibid ufanye wewe inafanya computer mfano kunyanyua pasi na Direction sahihi ya pas...

Runns sahihi za wachezaji... Kukaba na pia clearance kwahiyo unakuwa unacheza wewe pamoja na AI...

Nadhan hata wewe unatumia sema kwakuwa bado mgen unaweza usione


Sasa shida ya hii sisi ambao sio watumiaji unapata tabu sana kumkaba mtu wa smart assist 😃😃😃😃


Maana yeye anakuwa perfect kwenye runs kitu ambacho kinakuwia ugumu kukaba😃😃
Nimekupata vyema mkuu. Shukrani.
 
Wakuu account yangu ya Myunani imepata mteja soon tuu naachana nayo😃😃😃


Done deal all sealed agreement 10k selling fee minus 4k ya silivester na Guardiola minus coins za 5K faida inayobaki ni 1K minus bundle nililotumia 20k nakuwa nimepata Loss ya 19K pamoja na Owen🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom